Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau! Hope mko poa kabisa, na kwa neema za Mungu tunatumai atatuvusha mwaka salama, kwa wale ambao ni wagonjwa na wenye shida mbalimbali, basi ni maombi yangu kwa Mungu wa Mbinguni...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Nahitaji kitanda cha 5×6 pamoja na godoro lake nina 140k only... Godoro kama una godoro tupu used nichek pia nataka liwe la 5×6 Kitanda kitupu bila godoro pia cha 5×6 nicheki Nipo dar ubungo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari Wadau! Naomba idea ya namna ya Kusafirisha Memory Card na flash drive kutoka China. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
637 Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu. Nauza kuku wa mayai wapo 540 (mia tano arobaini), bado wiki mbili waanze kutaga. Nawauza kwa bei ya jumla sh.MILLION 3. SABABU: Hii ni baada ya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau nauza Kiwanja changu, kipo wilaya mpya ya Kigamboni, Kimepakana na viwanja vya Kisota. Kiwanja kinaangalia barabara ya kutoka Ugindoni kuelekea Kisota. Kipo sehemu tambarale hakuna maji...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari Wana Jamii.. Mageti Yanauzwa yako makubwa mawili kama kwneye picha jeupe na jeusi na mdogo yako 11.Mageti yote ni mazima na yalikua yakitumika kwenye frame zangu za nyumbani. Niko sinza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Maisha yetu kwa kiasi kikubwa, yamezungukwa na Matangazo (Advertisements) ya bidhaa au biashara mbalimbali. Tushikapo magazeti asubuhi, tusikilizapo vipindi vya redio, tuangaliapo vipindi vya TVs...
4 Reactions
23 Replies
23K Views
Habari ya alasiri wadau na poleni na mihangaiko ya siku nzima. Natumaini mko poa. Nisiwachoshe niende kwenye hitaji langu. Wadau ninatafuta shamba la kukodi preferably maeneo ya Ruvu kwa ajili ya...
0 Reactions
77 Replies
14K Views
IPhone XR 64GB Imetumika wiki mbili. Bei Nzuri kabisa. Naiuza Nipeleke dogo shule Januari hio wakuu. Bei 1.4M pekee. Tuwasiliane 0757497175 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
992 Views
Habari zenu wakuu!! Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye point ili nisiwachoshe, Kwa mahitaji ya NYUMBA, VYUMBA, VIWANJA, VITU VYA NDANI VILIVYOTUMIKA NA NK. ndani ya mji wa Morogoro mjini dalali...
6 Reactions
147 Replies
31K Views
Msaada anaejua mahali wanauza ESC anielekeze, pia kama anajua bei itapendeza. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
0 Reactions
2 Replies
458 Views
OFFER OFFER OFFER Samsung galaxy s6 Brand new full boxed All accesories available All colors 32gb 16mp camera 4g lte Only 320000tsh Free delivery in Dsm Call 0716119347
1 Reactions
131 Replies
14K Views
Nauza I ya cotton yapo mawili na foronya mbili bei ni elfu ishirini yu
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Rejea kichwa cha habari hapo juu, natafuta boda boda ya mkataba au kwa siku, maongezi zaidi nipo hapa kujibu, nipo Dar es Salaam. Tufanye biashara.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye kuhitaji nyumba ya kisasa vyumba 3 ,viwili ni master. Ipo madale mwisho, Barabara ya mbopo. Imeisha rasmishwa(pandiwa beacon/ na process za hati miliki zinaendelea.) Mawasiliano kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu kwema nyumba ya kukodishwa inahitajika maeneo ya boko isizidi mbele ya boko chama. Bila shaka humu tuna ma landlord. Iwe ndani ya fence. Vyumba viwe viwili kimoja master. Umeme na maji...
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Natafuta wauzaji wa jumla wa stationeries &books kwa dar es salaam Mawasiliano 0620826776 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Ac compressor ya toyota allex inahitajika Dar
0 Reactions
1 Replies
572 Views
Hawajaona sijui
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Je unahitaji samaki wa urembo? Je unahitaji kasha la kuhifadhi samaki wa urembo (aquarium)? Je unahitaji vyote viwili, yaani samaki wa urembo na kasha la kuwahifadhi? Wasiliana nasi kwa namba...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom