Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Hamjambo. Nakitafuta kitabu chenye mada "Kiswahili kama bidhaa adimu: jiajiri" kimeandikwa na Elizabeth Godwin Mahenge kwa ajili ya kukinunua.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninauza hard disk 2000GB/2TB Sata ya desktop. Ninapatikana Tegeta Dar es salaam. HDD bado mpya. Bei 120000 maongezi yapo. Kwa anayehitaji anipigie 0789 609 310.
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Nahitaji laptop yenye bei ndogo budget laki 7 au 6 au 5 yenye uwezo mzuri wa games (level za gta 5), graphics and architecture. Mnilelekeze hata anayeuza yuko wapi au account yake social media ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wasalaam. Tangazo kwa wamiliki wa Radio/podcast & tv. Nina offer packages za matangazo ya sauti Pamoja na motion. 1.RADIO PACKAGES Includes Main Radio jingles,Programs jingles, segments...
1 Reactions
1 Replies
720 Views
Kwa yeyote anayeuza gari aina ya Crown Royal salon, usajili si chini ya DJ, Bei isiyozidi 10M kama unalo au unamjua aliyenalo tuzungumze DM. Asante sana. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Hizi ni korosho safi kutoka kusini mwa Tanzania, Mtwara. Kama kijana niliyeamua kujiajiri nawaletea bidhaa mzuri sana ya korosho mzuri na tamu pia. Napatikana Dar es salaam lakini na mikoani pia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Eneo liwe katikati ya mjini hapo Dodoma, kwa ajili ya kujenga supermarket na maofic Eneo liwe kuanzia 1000sqm na kuendelea Ofa tunasikiliza kwa muuzaji Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa...
0 Reactions
8 Replies
980 Views
Habari, Kwa Wafugaji Nyuki Kibiashara, sasa unaweza kujipatia Mizinga ya Kufugia Nyuki Kibiashara (Commercial Langstroth Hives)kwa bei RAFIKI ya Tshs 170,000/=, ambapo kupitia kwayo utaweza...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba kupata maelekezo na upatikanaji wa tenda. Msimu huu wa masika,
0 Reactions
0 Replies
891 Views
TOYOTA COASTER SAFI SANA Bei: 16,500,000 Mwaka: 1992 Aina ya Mafuta: DIESEL Umbali: km 141,121 Injini (cc): 4100 Transmission: manual (vibali vimeisha mwaka huu mwezi 11) kituo simu elf...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nissan X-Trail Mint&good Condition 2003year Engine capacity 1990Cc Mileage 78560Km price 11million Kwa mawasiliano 0659299667 Gari ipo Dar es salaam
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Dotem Insurance Tunatoa bima aina zote kama zifuatazo: - Bima za maisha - Bima ya gari, bajaji, lori, scaveta - Bima za mashine - Bima za ofisi - Bima ya kikundi (kikoba au taasisi) - Bima za...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Mitsubishi Pajero model ya 2004. Registered in 2014. Iko katika hali nzuri Inamilikiwa na kampuni binafsi. Gari inashida kidogo na gear box ila inatembea vizuri. Nipigie 0754847678 au watsapp...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Biashara ya utalii ni moja kati ya biashara nzuri lakini zenye changamoto nyingi. Kwa wazoefu, biashara hizi ni kama Mgodi kama ukipatia namna bora ya kuziendesha. Leo nataka tuzungumzie biashara...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Salaam wana jukwaa, Husika na kichwa cha habari hapo juu, Kiwanja kinapatikana maeneo ya Geita-Katoro maeneo ya Mombasa Raha, Kina ukubwa wa -urefu ni 30 upana ni 28. Bei ya kiwanja ni million...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Sofa Ya Watu Wawili Na Mito Yake Hiyo Hapo, Imetumika kwa Miezi 6 Bei: Tsh.220,000 Niko Dar Kigamboni, Sitaki Nikihama nibebe Vitu vyote Vya Ndani Mob:+255 718 295 182...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari, nauza mayai ya kienyeji kwa jumla na rejareja bei 14,000, tunapatikana ubungo riverside. Naondoa usumbufu nakuketea ulipo 0678160139 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
446 Views
Jipatie mashine ya kichujia maji ambayo haitumii umeme ni rahis kutumia na ni salama kwa asilimia 100 kwa maana ina kipenyo cha micrometer cha 0.2 ambacho hakiruhusu bacteria wala uchafu wa...
0 Reactions
1 Replies
622 Views
Habari wadau, Kuna viwanja Kibaha kata ya Kongowe Kitongoji Cha Kigelo Viwanja vilipo ni umbali wa Kilometer 2 kutokea Morogoro Road Huduma za maji na umeme zote zipo Bei ya kiwanja ni TZS...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wakati ukiwa umesave pesa mwaka mzima kwa ajili ya ujenzi basi sisi tupo kwa ajili ya kukusaidia kutimiza ndoto yako Hapo ni muonekano wa nyumba ya vyumba 4 all self , jiko, dinning, sebule...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom