Je Unahitaji msaada katika kuanzisha biashara yako?
KASI wanatoa huduma za uanzishaji wa Biashara ambazo zitakuwezesha kuanzisha biashara yako kitaalamu na kupata huduma ya mentorship katika...
HOUSE FOR RENT
LOCATION:
SINZA "A" NEAR CATALUNYA ALONG SAM NUJOMA ROAD, DAR ES SALAAM.
DESCRIPTION:
SUITABLE FOR OFFICE ONLY, STAND ALONE, THREE LARGE BEDROOMS ONE IS MASTER BEDROOM, SITTING...
Kuku broiler wenye uzito wa kutosha wanapatikana kiluvya madukani kwa bei ya tsh 6000 tuu,karina kwa mawasilano ni 0758918144
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei ni sawa na bure njoo uchukue simu yako full boxed ikiwa charger na earphone original ndani yake.
Simu ni dual(laini mbili)
Nyembamba na ina uwezo mkubwa wa camera
Memory ni 32 GB unaweza...
JIPATIE MINI FRIDGE,HII NI FRIJI NDOGO INATUMIA AC,DC NA SOLAR YN UMEME WA KAWAIDA NA UMEME WA KWENYE GARI,UNAWEZA ITUMIA KTK GARI YAKO AU PIA UKAWEKA CHUMBANI KWA MATUMIZI YAKO,PIA UNAWEZA KWENDA...
Wadau habari,
Anayeweza akafahamu pale ninapoweza kupata financial calculator kama hii na bei yake (hapa Mwanza /Dar) . Inahitajika haraka sana.
Nashukuru sana kwa msaada wenu.
Sent using...
Fanya biashara yako kijanja na kisasa zaidi. Tuna Software ya:
1. Shule: kuanzia nursery hadi Chuo.
Ina vipengele vinne Academic, Library, Account na Payroll
Taarifa za usajili wa...
wakuu kwa mwenye kujua wapi nawezakupata soko la uhakika la mmea ambao hutumika kama tiba na viungo vya nyama na mapishi mbali mbali unaotambulika kama ROSEMARY PLANT....natanguliza shukran
Nauza kiwanja Kiluvya njiapanda ya kwa Sumaye. Kiwanja kinaukubwa wa nusu heka, kimewekwa mawe bado hati tu.
Kipo karibu na miundombinu yote barabara na umeme
Bei ni milioni 13
Kwa mawasiliano...
Hii ndio habari ya mjini KIBAHA Hoteli Glacier White Park Hotel ina Swimming kubwa hii ni bahari ndani ya mji wa Kibaha hongera wamiliki kutuletea kitu roho inapenda.
Inapatikana karibu na Ofisi...
Habari zenu wapendwa? Naunza infinix hot 8 mpya ina wiki 1 tu nakupa na box lake, chaji, ear phone, pamoja na risiti yenye garantee mwaka 1, nimeiwekea glass protector original haina shida yoyote...
Habari zenu... Nilikuwa naomba mtu anayeweza kuandaa busness plan nzuri ya stationary kama kuna yoyote anayefahamu kuandaa naomba anitext private kuhusu malipo tutakubaliana. Nahitaji mtu...
kama kichwa kinavyosema hapo juu nahitaji kreti za bia kama 200 na za soda mia mbili zikiwa na chupa zake, kama unazo weka offer yako hapa ... Napatikana Dar es Salaam
Habari zenu,
Naomba kuuliza kuna yoyote anayeuza mini bike au anayejua wanapouza hizo mini bike.
Nataraji majibu kutoka kwenu ndugu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.