Salam wakuu,
Ni aina ipi ya mzani yenye ubora wa juu kwa ajili ya kupimia vitu kwenye duka la reja reja? Nazungumzia mzani mdogo wa kilo 20 kushuka au 15 kushuka chini.
Habari waheshimiwa.
Nilikuwa nataka kujua anayejua pampu za mgongoni za kumwagilia dawa shambani kwa bei ya Dar es salaam maana mimi nipo Dar es salaam, alafu nimepanda viazi mviringo Mbeya sasa...
Tafadhali rejea kichwa cha habari mim n muhitimu wa chuo kikuu mahafali ya chuo yameshapita but familia inahitaji kufanya sherehe ya mahafali kam kuna mtu anakodisha majoho kwa wahitimu wa chuo...
Tafadhali rejea kichwa cha habari mim n muhitimu wa chuo kikuu mahafali ya chuo yameshapita but familia inahitaji kufanya sherehe ya mahafali kama kuna mtu anakodisha majoho kwa wahitimu wa Chuo...
Salaam wakuu wa JF. Nimepata safari fulani ya majuu kwa takriban wiki 3. Ninakoenda naambiwa kwa sasa hali ni baridi kali inasoma -2 mpaka 3 centrigate. Nahitaji kupata majaketi yenye manyoya...
Habari wana Jf.
Hongereni na poleni kwa maandalizi ya hizi "siku kuu" zinazo kuja.
Naomba nitambulishe kwenu biashara ninayoifanya.
Ninatoa huduma za kupiga picha kwenye mikutano mbalimbali...
Nanunua landrover TDI za zamani hata Namba A ,Burget yangu Tshs 1.5 - 4 milion integemeana na hali ya gari husika ,iwe tu inatembea mengine INBOX
Asante
Inahitajika receiver ya Sony DAV-DZ350 1000W yangu imezingua inawaka kitaa cheupe ktk screen tu na amna kitu inafanya baada ya apo au mwenye ujuzi ktk hili basi tuwasiliane kwa +255657900003. Niko...
Hello Team. Naomba kuuliza nina mpango wa kununua home theater ya nyumbani mwezi huu ,na budget ni 700000.mwenye kujua ni company ipi wanatengeneza kitu Og please , let's me know.
Kiwanja kina ukubwa wa 20*20.
Location- Boko kibaha, hatua chache toka Hospital ya Tumbi.
Kipo karibu na kituo cha daladala zinazotoka Mbezi mwisho Dar.
Huduma za maji na umeme zipo maeneo hayo...
AGIZA GARI NASI KUTOKA JAPAN
GHARAMA YA GARI NI 12,651,600 Tshs.
MALIPO NI KWA AWAMU MBILI | Anza na 7,135,680 Tshs | Malizia 5,515,953 Tshs.
SIFA ZA GARI.
JINA: TOYOTA RAUM
TOLEO: 2008
INJINI...
Nauza corolla yangu mimi ndie mmiliki, ina engine ya 4e, 1331cc ya mwaka 1998 na imetembea km 168,000. Tairi zote mpya na betri mpya, gari haina tatizo ni kuwasha na kuondoka. Kwa mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.