Habarini wadau wabhabha na wabhamayo mimi ni Msukuma niko Mwanza nimeuza kang'ombe kaurisi sasa natafuta namimi kakiwanja sehem nzuri hata kama ni kijijini lakini karibu na miundombinu au kijiji...
Habari wakuu
Nauza kiwanja kipo chanika buyuni block 25
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 316
Kimepimwa kina hati
Bei 2m fixed
Nb gharama za serikali za mtaa zinalipwa na mnunuzi
Mawasiliano...
Habari za muda huu wana Jf,
Samaki wakavu wanapatikana, ni wa maji baridi, aina ya kitoga kutoka Ifakara. Wamekaushwa kwa moto.
Wapo wa ukubwa tofauti tofauti, Bei ni kuanzia 3000, 4000, 5000...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, kioo cha TV yangu kimeharika nahitaji kioo cha TCL inch 42. Niko Morogoro, Dodoma na Dar nakuja fasta.
Shukrani
Amani iwe juu yenu..
Nipo mwanza kwa sasa ila ni mgeni kidogo wa hili jiji. Naomba wenyeji mnielekeze maduka ya pamba kali za jeans, cardet, mashati bila kusahau shoes...
Nipo maeneo ya kirumba...
Bournemouth Man Utd – away to score
Arsenal Wolves – over 1.5 either half
Aston Liverpool – NG either half
Espanyol Valencia – under 3.5
Levanter Barcelona – home to score
Sevilla Atleti – GG...
Wandugu mwenye bidhaa pendwa ya ufuta mweupe au mweusi tutafutane.
Compositions kwa ufuta mweupe
Moisture 5% Max.
Fat (Oil) 48% Min.
Ash 6% Max.
Protein 20% Min.
Carbohydrates 10% Approx...
Zinapatikana Tegeta! Idadi yoyote! Kuanzia Box 100 Discount ipo.
4PCS/Box at 1.44 SQM, rangi 4 kama kwenye picha ikiwemo White Plain, Box ni 27500/=
Zinatoka China! Aina ni Granite.
Best price...
Habari zenu wakuu,
Kuna vifaa vyangu vichache ninahitaji kuvisafirisha kutoka Dar kwenda Arusha. Vitu vipo hapa Ubungo Kibo kituo cha madalali. Ninaomba mwenye taarifa ya lori lenye nafasi kutoka...
KWA AFYA BORA JIPATIE CHUPA
Wakati mwingine tunajiletea maradhi pasipo kufuata kanuni za Afya
Wengi wetu hatuna desturi ya unywaji wa maji yaliyo salama na safi, ...
Watalaamu wanatushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.