Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu naomba mwongzo wa kimawazo kutokana na Maisha ya sasa yalivyo mtaani nataka nifungue saloon ya kike vile vifaa vyake naweza pata kwa shingp au vipya au ninunue kwa mtu havitaleta shd?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya bidhaa tajwa hapo juu "originals" ndani na nje ya Dar es salaam Pia tunauza bidhaa nyingine kama honi, air fresheners, dashbod wax, tunaweka tinted, tunauza na kufunga redio na...
3 Reactions
38 Replies
6K Views
Phantom 9 New Ram 6 Strong 128 Full box Aina kipengele Bei 450,000 Number 0674621806 Location: Morogoro
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Habari zenu wote. Kwa wale wote wanaohitaji smartphone (iPhones na Samsung) Kwa bei nafuu. Napost hapa gharama zetu za simu zilizopo. Pricelist yetu hii hapa chini. Tutakuagizia kutoka nje ya UK...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Naomba namba ya watu wa makufuli Mwanza nahitaji fundi wa milango multlocks
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Habari wadau. Ninauza tshirt heat press machine. Size A-3, Manufacture anaitwa Adkins Bei 1,000,000 fixed. Ni brand new ina warranty 12 months Pia tunapokea oda za kuprint tshirts, za...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana JF nauza eneo lipo michese dodoma KM 6 kutoka soko la majengo miundo mbinu iko mizuri. ukubwa wa eneo ni sqm 2162 au tulio zoea hatua ni miguu 57 kwa 52. bei milioni 4 karibu PM wanunuzi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TUNAUZA VIFARANGA WA BROILER NI BEI NI 1,300Tsh Ukinunua kuanzia Vifaranga 1,000 bei ni 1,200Tsh tu Weka oda yako, Vifaranga tunatoa Siku ya juma tatu na alhamis. #broiler #kukuwanyama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
We are offering a wide range of Consultancy services in regard to Business Planning, Management and Strategy, Finance and Accounting, Human Resources, Legal, Operations and Logistics, Sales and...
0 Reactions
1 Replies
575 Views
Habari tunavyo vifaranga bora kabisa vya kambale, kwa bei nzuri na resonable kabisa, idadi yeyote utakayotaka..Tafadhali tupigie simu 0757400897, 0657999034..sehemu yeyote within mainland ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
CHRISTMAS MARKET FESTIVAL yaja! Kwa mara ya kwanza Dar es salaam itashuhudia festival ya soko lenye bidhaa zote za Msimu wa Krismas katika Viwanja Vya Makumbusho Ya Taifa (Opposite na Chuo cha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
-Used abroad -128 GB -86% Battery health. Text : 0693341234
0 Reactions
2 Replies
756 Views
Nyeusi Imetumika wiki 2 250k.. inapungua kidogo 0753 815343.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari nauza madini yafuatayo. Hii ni rubi gemstone gram 2 ya winza bei 150,000,000/= Hii ni Alexander lite (change color) gram 23 ya winza 600,000,000/= Napatikana mkoa wa Singida...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Mabati yaliyotumika mwaka mmoja yanauzwa elfu 9 kila bati. Yapo 17 na yanapatikana Mbweni JKT. Yanafaa kwa banda la mifugo, nyumba za site, etc. Nauza pia nguzo 4 za chuma kwa elfu 20 kila nguzo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji kiwanja Dar, kiwanja kipo toangoma wilaya Temeke kimezungukwa na wakazi wengine kina ukubwa wa 29.3*13.3 bei ni 5m pekee wahi ukichukue, kwa atayehitaji mawasiliano ni 0674839141.
0 Reactions
0 Replies
805 Views
Wakuu Nina elfu 35 msaada hata likiwa tupu bila geai mi napokea Mtungi mdogo kampuni yoyote inayolatikana kirahisi 0718295182
0 Reactions
6 Replies
916 Views
tunatoa offer (ofa) kwa wanaohitaji business cards, logo na lebo za bidhaa zao kwa gharama zifuatazo; Company logo designing = Tsh.30,000/= Business card designing = Tsh.25,000/= Product label...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha ujumbe. Ninataka kununua shamba ifikapo Desemba. Napendelea Mkoa wa Pwani. Wilaya ya Kibaha, Chalinze au Mlandizi. Bajeti yangu ni 200,000 per acre. Karibuni.
2 Reactions
22 Replies
6K Views
Habari zenu wanajamii Jipatie laini ya uwakala ya tigopesa kwa 250,000 .mwenye uhitaji tuwasiliane tufanye biashara Karibuni
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom