Naomba kujua kwa anayefahamu bei ya kitambaa cha car shade pekee yake pamoja na labor ya kushona kwa car shade ya mita 5 kwa mita 5. Asanteni
0625 536 529
Nauza simu yenye maelezo
1. Aina ya Simu: Samsung A30
2. RAM 4GB
3. Internal Memory 64GB
4. Line 2
5. Battery 4000amH
6. Imetumika mwezi mmoja na siku kama 8
7. Rangi nyeusi, haina mpasuko wala...
Habari Nauza simu Original ya iPhone 6 GB 128
Bei yake Tsh 600,000 tu
Rangi ya sliver
Ina cover la gumu sana la kuzuia kuvunjika kioo hata maji kuingia ndani, water proof na impact proof kwa...
Leo jioni nilikuwa na rafiki mmoja, alikuwa analalamika atatamani kujifunza programming lakini kiingereza kinachotumika kwenye vitabu na Youtube video kinamchangaya haelewi.
Ameniomba nimfundishe...
Habari
Kwa wale wapenda simu, niko na Tecno 11 pro
Ni mpya na nzima ina kila kitu
Bei ni 300,000
Unakagua mpaka una ridhika kisha ndiyo unaichukua.
Serious buyer njoo inbox.
Details
Price...
Habarini wana JF,
Mimi nataka nianze kufanya biashara ya kuku wa kienyeji kutoka ktk hiyo mikoa niwalete Moro.
Nauliza kwa wanaofahamu sehemu zenye minada ya kuku huwa ni maeneo gani na hufanyika...
Camera Nikon 3200 + battery + Charger + lense ya 18-55mm
Inauzwa bei cheap
Tsh 600,000 Tu.
Haina Tatizo lolote imetumiwa miezi 8
Inashoot Full HD video na picha
Tupo Mbezi beach , Dar
Mawasiliano...
Model: Toyota Harrier Lexus
Year: 2005
Engine CC: 2362
Full AC
Mileage: 110,200Km
Location: Dar es salaam
Price: 21M (Maongezi yapo)
Piga/WhatsApp :0719972458
Gari imetunzwa vizuri kama inavoonekana
NAUZA MAGARI NAPATIKANA KIMARA BARUTI.
NAMBA ZANGU NI 0676217485 OR 0762740081 KARIBU
TOYOTA WISH IMESIMAMIA KUCHA NAMBA DP BEI YA KUTUPA MILLION 12 NAPATIKANA KIMARA BARUTI
Hello Wateja wangu
Karibuni katika biashara yangu ya Dagaa wa kukaanga kutoka Jijini Mwanza.
Tunauza dagaa wasafi na walioandaliwa katika mazingira safi.
BEI ZETU
Tunaanzia pakti kwa Tshs elfu...
-ukubwa wa eneo ni 25m *23m square meter 575.
- eneo lipo kwenye mradi wa urasimishaji ardhi
- barabara ipo ya mtaa hadi kwenye kiwanja
- eneo lipo karibu na shule ya msingi kifuru (malamba...
Hello wanajamvi
Vyuma vimekaza lakini bado tunakomaa na malezi! Natafuta baby car seat, umri ni kuanzia mwaka mmoja.
Najua wengi mmelea na sasa hizo kitu zipo tu stoo zinabwia vumbi. Mwenye nayo...
Frame.kubwa nzuri inapangishwa iko njia ya kwenda Kimara Bonyokwa
Hapa mwanzoni opp na Kyauke Lodge
Luku inajitegemea
Kodi 70" 000 kwa mwezi
Malipo miezi 3
Cont 0713458722
#ini sehemu ya...
2:International storage : 1tb( 1,000)
3: Model : Hp
4:Color : Gray
5: Mideum width.
6: With webcam
7: Inakaa na charge zaidi ya 2hrs.
8:Angalia picha iliyoambatanishwa.
Inapatikana Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.