Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
ofisini machinga Complex Wasiliana na 0747 668 944
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunatengeneza website kwa ajili ya aina yoyote ya biashara unayohitaji. Bei ni Sh 95,000 tu na hakuna gharama zilizojificha (No hidden costs) Tupo Mwanza, Tanzania na tutakuhudumia ukiwa kokote...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu hbar za mida, Nauza pikipiki boxer bm 150 ina miezi 11 tu na imetembea km 22,621 mpka sasa haijawahi kugongwa ipo katika hali nzuri kabisa na pia ina kibali cha mjini.Pikipiki ni ya kwangu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
TANGAZO TANGAZO HAKI SECONDARY SCHOOL P.O.BOX 2294 TANGA Shule imesajiliwa kwa namba S1553. Ipo katika halmashauri ya Jiji la Tanga kata ya Nguvumali. Ni shule ya bweni na kutwa kwa wavulana na...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunatengeneza greenhouse za ukubwa tofauti kutokana na eneo husika, 1) tunajenga za miti, ambazo hukaa kwa muda wa miaka 8, a) mita 6 upana 12 urefu,tunajenga tunalifunika kwa wavu maalum...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari njema kwa wakulima wote. Pata, Super Grow mbolea Ya asili ya maji inayokuongezea mavuno Mara mbili zaidi ya unachovuna sasa. 1.NYANYA 2.VITUNGUU 3.MPUNGA 4. NGANO 6.MAHINDI 7.MAHARAGE 8...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu nadhani mu wazima natafuta mwalim wa mziki anayejua kupiga gitaa vizuri,gitaa la galaton (aquatics guitar) nipo dodoma wakuu namba zangu ni 0758461664
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Dalali beka Karibu ujipatie vyumba,nyumba na frem kupanga kwa bei nafuu kabisa Malipo ni baada ya kuridhika na huduma Tunakupeleka kuona buree kabisa Kwa mawasiliano 0656 548919
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Jimbo Katoliki la Ifakara linawatangazia watanzania wote kuwa, limefungua shule mpya ya Sekondari iliyosajiliwa kwa jina la ST. RAPHAEL SECONDARY SCHOOL na kupewa namba ya Usajili S.5061. Kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nafasi Za Masomo kwa Mwaka 2020 Chamazi Islamic Tunapokea Wanafunzi wa Boarding Vs Day pia Tuna usafiri wa kutosha Wasiliana Nasi kwa Email : imaamhanafiy77@gmail.com Phone 0655 412829 / 0753...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, Nauza saa aina zote za kike na za kiume kwa bei ya jumla na rejareja ni shilingi Tsh 5000/= tu mie napatikana Dar es Salaam kwa wale walio mkoani natuma mzigo popote nichek whatsap kwa...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
In newly conditon RAM 6GB ROM 64 GB Mawasiliano: 0678096545
1 Reactions
1 Replies
620 Views
Wakuu karibu tufanye biashara Hp laptop processor:celeron battery 3hrs(8hrs standby time) color:black&slim os:windows 10 webcamera:yes condition used ram4gb hdd500gb price460k(inazungumzika)...
0 Reactions
1 Replies
634 Views
Natafuta kioo cha samsung s6 plain kama unacho nicheki kiwe used au new ila bei iwe ya Kibaharia......…..Nicheki 0657427793
0 Reactions
1 Replies
37K Views
Kama kichwa cha habari natafuta kioo fully na touch yake cha lenovo picha hii hapa
0 Reactions
1 Replies
853 Views
Nyumba yenye vyumba 7 kimoja master, sitting room, mabanda ya uwani na from mbili za duka. Ipo barabara kuu ya Pangani - Tanga. Bei maelewano no. 0717 720 289
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu habari Aisee hali ni tete nimeona bora tu nisukume hii pc yangu hata kwa bei ya hasara tu mana hamna namna, PC ipo katik hali nzuri wala haina tatizo lolote lile PRICE: 300,000 PROCESSOR...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Karibuni Wakuu mjipatie viatu vya ngozi vya kiume (size 40/41) kwa Tsh. 25k pamoja na delivery kwa wanaoishi Dsm. Mawasiliano: 0765 537 224
3 Reactions
117 Replies
25K Views
Natafuta fundi aluminium mzuri Mwanza,mwenye uhakika wa kazi nzuri anitafute tufanye kazi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Pata nakala yako ya kitabu cha Selina, kinachozungumzia habari za vyuo maisha ya kila siku wapitiayo wanafunzi. Kwa bei ya shilingi elfu kumi, mtunzi wa kitabu hiki ni Myovela P, ni kitabu safi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom