Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Bei sawa na bure kwa Tsh 32000/- Popote Unatumiw
1 Reactions
1 Replies
5K Views
NYUMBA INAUZWA MAELEZO Ni nyumba ya vyumba vinne(1 master bedroom). Pia ina; -Dinning -Sitting -jiko -store -Public toilet -uwanja kubwa kwa ajili ya parking. UKUBWA WA ENEO 30*20(sqm 600)...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Salaam wajuvi wa jukwaa hili. Kwa jiji la Mwanza, wapi naweza pata Sim Card Reader? Niweze kusoma data za kwenye line ya simu kwa kutumia PC. Shukrani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Aina: iPhone 6s 32GB 80% Battery Health Price: 400K Maongezi yapo kidogo Dar es salaam, Temeke Phone/ WhatsApp 0747765944
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Kiwanja kipo Kivule frem 10 ( njia ya chakenge ). Unapanda gari la gongo la mboto then unashuka kituo kiitwacho Banana. Hapo banana utapanda gari ziendazo Kivule frem 10. Kutoka hapo frem 10 hadi...
0 Reactions
56 Replies
8K Views
NYUMBA NZURI YA KISASA IPO KIGAMBONI KIBADA. INA 4 BEDROOMS, MASTER 2, SEBULE KUBWA NA DINING, JIKO LA KISASA UKUBWA WA PLOT SQM 700. INA TITLE DEED. BEI TZS MILLION 190 MAONGEZI YAPO
1 Reactions
6 Replies
3K Views
tunauza mashuka jumla na reja reja ya cotton ambayo yametengenezwa hapa hapa Tanzania. kwenye mfuko mmoja kunakaa mashuka mawili na foronya 4, ukubwa wa mashuka ni inch 90 kwa 100 ambayo ni...
2 Reactions
12 Replies
5K Views
Hello Team ,Fuso Tiper D 16 ,4 Angle linauzwa shilingi milioni 37. Liko Babati Arusha , maongezi yapo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je, unahitaji kusajili kampuni yako hapa Tanzania na hauhitaji kukaa foleni na kuepukana na usumbufu wa kufika BRELA? Basi kampuni pendwa ya Finespace and Business Consultancy Limited inakuweka...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hello ndugu, nawatafuta wafanyabiashara kutoka mikoa mbalimbali hapa Tanzania wanaonunua Senene kwa ajili ya biashara kutoka Bukoba, Kagera wanaolangua. Tafadhali tuwasiliane, tukutane uchukue...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndugu wana jamii kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nauza mahindi mabichi mahususi kwa ajili ya kuchoma. Ninayo heka tatu ni yale makubwa mbegu DK 8031. Napatikana Moshi, nahitaji dalali au mtu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana jamii kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nauza mahindi mabichi mahususi kwa ajili ya kuchoma.. Ninayo heka tatu ni yale makubwa mbegu DK 8031, Napatikana Moshi, nahitaji dalali au mtu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari nahitaji flat tv inch 24 NA kuendelea iliyotumia aina yeyote hela niliyokuwa nayo ni 170000 nipo moro town mwenyenayo anicheki 0715992666 whatsapp au nipigie
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Kwa wale wazoefu, nataka kujua bei ya mihogo niuzaje shambani, shamba lipo kibaha, nililima mwezi wa 3 mwaka jana, ile mbegu ya kukaa muda mrefu shambani (ndope). Ni mikubwa na mitamu. Lakini...
0 Reactions
41 Replies
24K Views
Hayaaa dagaa hao wa Mwanza wamekaangwa vizuri kwa viungo ili kukupa radha ya kueleweka kabisaaa[emoji108][emoji108][emoji108].Ni watamu sana na pia hawana mchanga wala uchungu.Na hakika ukiwaonja...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Sumtech Company Limited Tuna bidhaa zenye uwezo wa kulinda,kutoa taarifa kuhusu gari lako,kwa kupitia simu yako mteja anaweza kuona, -Speed -Sehemu ya gari yako ilipo -kuzima au kuwasha gari...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Nyumba ipo Mbezi Jangwani Beach Ndani ya eneo kuna nyumba 2. Ukubwa wa kiwanja ni 3500 sqm Bei 350m Panafaa kujenga ukumbi, hotel, bar nk. Maongezi zaidi 0756060183
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji sabuni ya eternal aloe vera Kwa aliepo Dodoma anaeuza anicheki 0757898117 / 0716601979
0 Reactions
4 Replies
930 Views
Pet's Vaccination Card Price: 2,000Tsh | Available Mifugo Tz ina madaktari(Vet Doctors) wenye uzoefu wa kutosha kwenye matibabu ya wanyama. Tunatoa huduma mbali mbali za mifugo kama: a) #Chanjo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Gari inauzwa Tsh 4.5m Gari iko kwenye hali nzr kabisa na haina tatzo lolote. Maongezi zaidi 0756060183
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom