Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Fursa muhimu sasa katika kufanya biashara ni kwa kwa kutumia mtandao wa internet.. Dunia inakadiriwa kuwa zaidi ya watu bilioni moja hununua kwenye internet. Hapa Tanzania kulinga na tovuti ya...
0 Reactions
2 Replies
609 Views
Habari ndugu zangu, Natafuta Masoko ya Mkaa na Mbao...Na bei zikoje. Nachana mbao za mti wa Mtondoo na Mkurungu kwa saizi zote kulingana na mahitaji ya mteja. Nina uwezo wa kusuply gunia 200...
0 Reactions
6 Replies
363 Views
Eneo la shule linauzwa Dodoma , Mtumba Area karbu na mji wa Serikali. Ukubwa wa eneo: Sqm 33,000 Bei: Tsh 10,000 kwa Sqm Ni surveyed pot Fixed Price Interested njoo PM Au +254746360628 only...
0 Reactions
2 Replies
288 Views
• Direction: Zakhem • Facilities: 3 bedrooms, 2 washrooms • Plot Area: 1,000 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 75 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ vyumba master 1 na kawaida 2 ✓ ina...
1 Reactions
1 Replies
189 Views
Salute wakuu, hope kila mtu anaendelea vizuri na harakati za kimaisha na kibiashara pia. Well, kuna simple project tumejiorganize kuifanya. Na imekaa Kama fursa nzuri sana kwa wafanyabiashara na...
1 Reactions
2 Replies
645 Views
Harman Kardon Onyx Studio 6 Wireless Bluetooth Speaker - IPX7 Waterproof Extra Bass Sound System sauti na mdundo mtamu Call 0628 880 380 190,000tsh tu.
1 Reactions
3 Replies
301 Views
Tunatoa huduma ya kusafisha eneo la ujenzi (kwa kukata miti katika eneo husika) kwa kutumia mashine. Tunapatikana mbezi louis na tunafanya kazi popote ndani na nje ya Dar es Salaam. Bei zetu ni...
0 Reactions
4 Replies
253 Views
Operating system: windows* 11 pro processor: intel(r) core(tm) i5-7200u cpu 2.50ghz processor speed: intel(r) hd graphics 620+nvidia 940mx 4gb RAM 12GB
2 Reactions
2 Replies
219 Views
  • Redirect
Hellw jf,kwa mwenye shida na AWARD VERIFICATION NUMBER(AVN),tupo kukusaidia na kukushauri.Pia tunatoa huduma ya computer classes for beginners i.e introduction to...
0 Reactions
Replies
Views
Najua watanzania wengi mnapenda sana kusoma vitabu . Shida iliyopo kubwa watanzania wengi lugha ya kingereza inatupa shida. Sasa hiyo shida imekwisha kama utafanikiwa kuona huu uzi leo kwasababu...
3 Reactions
47 Replies
7K Views
Faida za kuongeza mwani kwenye mlo wako Husaidia kupunguza unene, kupandisha kinga za mwili. Hupunguza kiasi Cha mafuta mabaya mwilini, Hupunguza mchakato wa kuzeeka kwa ngozi, Hupunguza...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Tunauza Photocopy machines Canon Ir 2525i Used Bei ni 2,500,000/- kwa moja Tupo Zanzibar, tunaweza tuma Dar na hata mikoani ila gharama za utumaji zitakuwa juu ya mnunuzi.
1 Reactions
9 Replies
316 Views
Kama kichwa Cha habari kinavyosema Naihitaji Kiwanja miguu 13x13 ya hatua kubwa kibaha jaribu na barabarani bahitaji pia nijue ni bei gani nipo serious wadau
0 Reactions
5 Replies
308 Views
Assalam alaykum viongozi Nahitaji kupata uelewa kuhusu biashara ya kutengeneza madaftari, counter books na yale ya kawaida. pls yeyote mwenye uelewa kuhusu biashara hii njoo unipe tips. Pia...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Sitaki za kichina nataka za kutengeneza manual. Chukua tenda hiyo
0 Reactions
4 Replies
262 Views
Kiwanja kina ukubwa wa 20 kwa 20 (400 sqm) kuna vyumba viwili ambavyo vimekamilika na mwenyewe anaishi hapo . Unapanda bajaji za kwenda kwa madawa (kituo cha kushukia ni kwa madawa) sio mbali...
1 Reactions
2 Replies
209 Views
Hello wakuu, Inahitajika TV ya kununua bei ndogo inavyowezekana, kuanzia inch 32 na kuendelea, used or mpya bajeti ni 200,000 hadi 300,000/= Location: Dar es salaam ikipatikana hadi kufikia...
5 Reactions
31 Replies
826 Views
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani. Kina ukubwa wa Square meter 1080 kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
0 Reactions
10 Replies
988 Views
Rafiki yangu mpendwa, Kwa muda sasa tumekuwa tunakupa habari njema za SEMINA YA USIMAMIZI WA FEDHA BINAFSI 2024. Hii ni semina inayokwenda kukujengea ujuzi wa aina tatu; KUPATA, KUTUNZA na...
2 Reactions
1 Replies
236 Views
Nguruwe wako wamedumaa? wamekonda? wamedhohofika?,vifo vya mara kwa mara?wanashambuliwa na magonjwa mara kwa mara? Umewatibu weee! Bila mafanikio yoyote zaidi tu ya kutapa hasara na mpaka sasa...
1 Reactions
1 Replies
637 Views
Back
Top Bottom