Kama kichwa kinavyosomeka iwe nzima au default/ yenye hitilafu na iwe ya mtumba/ used. Yenye Watts kuanzia 1kw au. zaidi
Wasiliana na anayehitaji kwa namba +255693339774.
Jipatie Timberland boots original kwa bei ya offer ya Tshs.100,000/= only.Offer hii ni ya mwezi huu tu wa 11.
Wahi kuweka order ujipatie Timbs yako Original kabisa..Unaletewa ulipo kwa Dar na...
Jipatie Huduma ya Web Design/ Blog & domain names sawa na Bure kama .com, .net, .org, .co.tz , .ac.tz, kwa Tsh 30,000/ year kwa mwaka mzima.
Pia tuna tunatoa huduma ya web hosting package kuanzia...
Tunatoa huduma zifuatazo:
1.Manunuzi ya bidhaa mbalimbali kutoka Dar kwenda mikoani.
2.Kusimamia usafirishaji wa bidhaa hadi unapokufikia.
3.kwa wafanyabiashara wa mikoani tunatoa ushauri wa...
‘GININGI MOJA BEI RAHISI STATIONARY’
PATA HUDUMA ZIFUATAZO KWA BEI CHEE KABISA:-
PRINTING - Black and White 200/=
Za rangi- 300/=
TUNAPRINT BUSINESS CARDS – 100...
Habari wana JF,
Tuna software nzuri na kwa bei nafuu kwa wenye taasisi za mikopo
Kwa wenye kuhitaji kuiona inafanyaji wake kazi naomba wani pm au wanichek kwa hizo namba ntawapatia link
Ahsante...
Gari aina ya Toyota Noah au Hiace inahitajika kwa ajili ya kusambaza vinywaji vikali Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara kwa mwezi mmoja.
Dereva ni wangu, mafuta na matengenezo ya kawaida...
Laptop bado ni mpya na haina tatizo lolote na risiti yake ipo.
Hdd 320gb
Ram 4gb
Processor 2.30ghz i5
Slim and portable
Os window 10
Fast charge adapter
More than 3 hours in battery
Web cam
Mouse...
Je wewe ni mdau wa Betting na unahitaji Odds 2+ za uhakika kila siku, ninachukua tips za uhakika kila siku kutoka kwa matipsters wakubwa.
Hakuna kubahatisha ni uhakika... Tips ni kila siku...
Karibuni shuka nzuri mtaani zinaitwa shuka za Uganda
Ni cotton 100%
Hazitoi vipele kabisa
Kufulia omo ni ruksa kabisa.
Zinafaa kutandika na kujifunika
Ukubwa ni 6*6
Zinatosha Godoro nch 10...
Habari za asubuhi wakuu, naomba kujuzwa juu ya bei ya jumla ya viti vile vya Cello vyenye miguu ya chuma pamoja na meza. Nataka nifanye biashara ya natural juice bar.
Kutoka kampuni ya Zola pekee unapata Sola Imara na betri pekee zilizotengenezwa kwa madini ya lithium ion zenye maisha marefu na vifaa vyakee kama TV za size tofauti ,taa zenye mwamnga wa kutosha...
Habari za wakati huu
Mashine za kuchanganya malighafi kwa ajili ya kupata savuni ya maji zinatengenezwa na kuuzwa. Kwa wakati huu ipo ya size hii
Kuchanganya lita 50 kwa nusu saa.
Inatumia...
Inauzwa: Nyumba kubwa ya kuishi, iko kwenye kiwanja kikubwa cha square meters 2,539 (surveyed area)
Mahali ilipo: Wilaya ya Ilemela, Busweru, Mwanza (Kilomita 2 kutoka ofisi za halmashauri ya...
Tuwambie wapi ulipo unavuna nn au wanavuna zao gan kama wewe si mkulima na bei yake. Thread itakua endlevu.Karibuni!
Naanza Mkoa wa Mtwara hapa zao linalovunwa ni korosho bei ya mnadani ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.