Mashine nzuri ya kutotoleshea vifaranga vya kuku na bata. inauwezo wa kubeba mayai 1056. ni nzima na inafanya kazi vizuri. bei yake ni 1,800,000/= kwa mawasiliano piga simu 0787220120
Natafuta Essential Oils kama vile Jojoba, Sandalwood, Lavinder, Flax seed oil, nk. Kwa ambaye anajua mahali naweza kupata tafadhali anitumie msg kwa simu 0688308840
Habari wana JF,
Kwa mahitaj ya mashine za kutotoleshea vifaranga maarufu kama INCUBATORS, nauza kwa gharama nafuu sana, mashine zote ni mpya , na zina gurantee ya miezi 6 mpka mwaka mmoja mashine...
Meza za ofisi 4 zote shilingi 180,000
Dining table na Viti 6 Vyote shilingi 380,000
Stand ya Tv flat screen ya Chuma shilingi 60,000
Viti vya darasani 10 vyote shilingi 280,000
Meza za kawaida 4...
Hi,
Mnayoiona hapo ni Xiaomi Mi Box S Android Tv ambayo inaipa televisheni yako uwezo mzuri wa kuwa Smart TV au hata kama smart, inakupa futures ambazo usingeweza kuzipata kwenye Smart TV.
So...
Fundi wa umeme wa majumbani na viwandani anapatikana, kufanya wiring kufunga mashine aina mbali mbali za kutumia umeme. Pia kuchora Ramani za umeme na kugonga mihuri ya kiumeme na pia ushauri wa...
Habarini za kutwa, samahani naomba kuuliza. Kuna siku niliona tangazo humu la kuhusu mbegu za miti ya matunda mbali mbali. Muuzaji alisema yupo Morogoro, nilijaribu kuwapigia simu lakini bahati...
Chumba kimoja kinapangishwa.
Ndani ya fensi, choo nje (wanachangia wawili)
Bei: Tshs 100,000 kwa mwezi
Mahali: Mbezi Beach Samaki
Wasiliana: 0686648630 au 0675107182
Nipo Morogoro Mjini (Kihonda) nahitaji kujua gharama za uchimbaji kisima. Kiwe kinatumia pump kupeleka maji kwenye tank.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunauza Vitoto vya Nguruwe viko 14 ...
Wako kwenye Hali nzuri na wana afya safi kabisa , chanjo zote za kila mwezi wanachomwa
Arusha Ngaramtoni ya Juu
0754371183 au 0782954687
Habari wakuu?,I hope you do good.
Diamond platnumz leo wakati wa kutambulisha watangazaji wapya wa vipindi vya michezo pale Wasafi HQs.
Mbele ya wageni waalikwa na mgeni rasmi waziri wa michezo...
Wakuu Wasalaam,
Napenda kuwajulisha kuwa tarehe 23 mwezi huu naanza kusupply kuku wa kienyeji kutokea Singida kwa jiji la Dodoma tu.
Uwezo wangu wa kusupply kwa wiki itakuwa ni kuku 250, kuku 50...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.