Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
natafuta kamziki kokote ka sony au panasonik nnakalaki mbili nanusu ntapata kweli msaada jameni au kama kuna mwenye nayo
2 Reactions
29 Replies
6K Views
Karibu Hawa_Mitumba kwa mitumba Grade One kwa bei nafuu kabisa . Blazers za kawaida kuanzia 5000 hadi 8000 Chiffon blouses sh 5000 Tupo mkoani Mbeya maeneo ya Chuo cha MUST Mikoani tunatuma kwa...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Nahitaji hydraulic pump kwa ajili ya kuunda press machine, vifaa vingine kama boom na fremu ninavyo.
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Laptop bado ni mpya na haina tatizo lolote na risiti yake ipo Hdd 320gb Ram 4gb Processor 2.30ghz i5 Slim and portable Os window 10 Fast charge adapter More than 3 hours in battery Web cam...
0 Reactions
1 Replies
752 Views
Nipo Mbeya natafuta mabati used kama unayo nichek pm itafaa kama utataja bei na utakuwa na picha. Thanks.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Inauzwa hiyo Bei 250,000 Nipo Dar es Salaam, Kimara Korogwe. Contact, Whatsapp 0654171555 Discount ipo.
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Habar wadau,!!? Nahitaji friji kubwa kias lenye milango ya vioo kwa bei nafuu..... Napatkana Moshi~Njia panda.....0718321418 kwa Whatsapp,call au sms.....
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ya mchana wadau nina zulia futi 10 kwa 10 naliuza tsh 200,000 mazungumzo yapo lipo katika hali nzuri tu nimehamia nyumba yenye tiles naona bora nilisukume tu nishavurugwa location Dar es...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Gari inauzwa,4WD, manual, ni nzima kabisa.AC pia inafanya kazi.Gari iko dsm, Sh 16,000,000,mazungumzo ya bei yapo.Tuwasiliane ktk 0714-796778 au 0628-615685
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba/ kiwanja kinauzwa. Kiwanja kina upana wa ft 25 kwa ft 35 Nyumba hii inapatikana eneo la Ukonga - Mongolandege. Ni umbali wa KM 1kutoka barabara ya G/Mboto. Nyumba ina: 1. Public Toilet 2...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Nauza viwanja Eneo la Msongola Mlandizi vyenye ukubwa wa kutosha na kwa kuwa Msongola ni Mji unaokua kwa kasi hautajutia pesa zako. Panafaa kwa kilimo na ufugaji. Pia, kwa mawasiliano 0620639519
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta Huawei Ascend Mate 7 ambayo haiwaki ( mbovu) naitaka kama spare. Ya housing yake imechoka kwa mawasiliano 0738253942, 0719152715
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Wakuu, Naomba kujua wapi naweza kupata (kwa kununua) vitu vifuatavyo; 1. Mashine za kisasa za kukatia nyama buchani. Nataka kuwa tofauti na zile bucha za mashoka na mapanga 2. Vifungashio vya...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
TATIZO LA KUVUJA KWA UMEME (EARTH LEAKAGE) Wengi wamekuwa wakilipa bili kubwa za umeme ambazo hata wao wanahisi sio halali ukilinganisha na matumizi yao. Tatizo la kuvuja kwa umeme limekuwa kubwa...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Pata kabati na sofa,vinauzwa...vipo Dar Kabati Tsh 150,000/= Sofa Tsh 150,000/= Call 0714260266
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ebhana ndugu zangu katika hatakati za hapa na pale nimekutana na ndugu yangu tukaongea mengi mengi mana yeye ni dalali lakin mwisho wa siku kuna kipengele kikajitokeza kwamba kuna sheli inauzwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tunanunua Mashudu ya Alizeti kwa tani zozote ulizonazo. BEI: 290/= kwa kilo. Mzigo tunaupokelea Dar es Salaam. Mashudu meusi kabisa ambayo hayajasagwa. Karibuni sana. 0659890000 fmlyimo@gmail.com
1 Reactions
8 Replies
3K Views
IPhone 6plus inauzwa 64GB STORAGE 1GB RAM BEI 450000 manzese Dar Call me 0769233063
0 Reactions
3 Replies
936 Views
Ni compresa kutoka UK na Germany zinauzwa kwa bei chee kabisa! Ili kuukomboa Mzigo Mwingine Bandarini. 0713365932.
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Salaam, Nyumba inapatikana Kimara (corner). Meter 300 kutoka Morogoro road. Inatumika kama nyumba ya kulala wageni. Ina vyumba 10 (vyote ni master). Iko ndani ya fensi, Huduma zote muhimu zipo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom