Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Samsung galaxy J5 plus imetumiwa miez mitatu tu bei 3.5k (laki 3 na nusu). 3GB RAM storage 32 GB camera ya mbele 8MP camera ya nyuma 16MP 4GLTE microchip
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tunauza mbuzi wa maziwa aina ya Norwegian goat wenye kukamuliwa liter mbili adi tatu ukimlisha vizuri na niwavumilivu wa magojwa pia wanazaa mapacha watu kwa bei zetu ni #mbuzi mwenye mimba...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau za muda huu. Mwenye nayo naomba tuwasiliane kwa 0759888018. Kama hiyo hapo pichani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu? Husika na heading hapo juu. Natafuta engine ya gari aina ya Toyota Cami ya mwaka 1999/2000 inafanana pia na Daihatsu Terios Kid 1.3cc. Zingatia mwaka wa gari, na engine ni ile...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
.....YNWA....
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Habari zenu, Nilikuwa naomba msaada wa mawasiliano ya branch ya Laprovet iliyopo Dar es Salaam.
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Habari wana jf, Natafuta soko la mafuta ya nazi (virgin coconut oil) Nipo dar es salaam_tanzania 0692942719
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wanajamii forum. Natafuta chumba single maeneo ya ubungo kisiwe mbali zaidi ya dk10 na barabara pia nyumba iwe na hali nzuri pamoja na maji ndani. Bajeti yangu ni elfu 50 kwa mwezi. Kisiwe...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau nahitaji kusafirisha mizigo, familia inahamia Musoma kutoka Morogoro. Naomba kuunganishwa na watu wa malori yanayotoka Dar kwenda Mwanza/Musoma. 0621457795
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Fundi wa madishi nipo hapa kwa mkoa wa Dar es salaam. 1. Nafunga madishi ya aina yoyote. 2. Napachika Tv ukutani. 3. Nafanya pia kazi ya umeme (wiring mpya, kurekebisha shoti, kufunga mafeni na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mwenye nayo pls muhim saaana wapendwa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
NISSAN X-TRAIL VS TOYOTA HARRIER CAPACITY; harrier ina uzito mkubwa zaidi kwa kuwa na maximum weight ya 2700Kg lakini x-trail ina uzito wa 2170 Kg lakin x-trail ina nafasi kubwa ya kubeba mpaka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Karibu katika group langu ambalo utajifunza kutengeneza dawa za asili Ukitaka kujiunga katika group tuma namba yako ya whatsapp PM Mafunzo yataanza tarehe 15 / 11 na kuisha 15 / 12 Hii itakua free
1 Reactions
4 Replies
882 Views
Wakuu, Niko na Led projector ziko sokoni,details zake: Image tech :TFT LCD Contrast:800:1 Native resolution 320x240 PX Supported resolution 1920x1080 PX Light:LED Projection distance 0.8-2M...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tcl led 40d2700 smart tv nch 40 used Tcl smart tv fullhd resolution ina access ya internet yaani ni smart tv so iko na ethernet/wi-fi wireless so unaweza connect na simu yako or router nakuacces...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Iweke gari yako/pikipiki yako katika ulinzi na usalama wa uendeshaji wake kwa kufunga mfumo wetu. GPS car tracking system itaweza kukupunguzia gharama za uendeshaji wa gari yako na kuongeza...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Hyyyyy wana Nangwanda sijaona... Now nipo Dar nataka nije Mtwara kuleta miradi yangu huko. Vp kuhusu pesa za korosho zishaanza kuzagaa huko...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
habari wakuu nauza kiatu cat original kabisa kimenunuliwa UK kwa bahati mbaya hakijanitosha..ni namba 42. bei 180000
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Budget yangu ni 40k kodi miezi 3
1 Reactions
2 Replies
727 Views
Wakuu Kama kuna anaejua mbegu nzuri ya pilipili hoho na sehem gani ntapata kwa hapa Dar Nipo Dar ntashukuru kwa msaada
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Back
Top Bottom