KASI Intaneti ni huduma mpya kutoka Vodacom Plc inayokupa uwezo wa kununua bando zenye data isiyokata.
Ukiwa na intaneti isiyokata unaweza; kutuma barua pepe, kufanya biashara, kuangalia video...
Wadau habari?
Kuna mdau anahamia mkoa wa mbali kikazi na kwa sababu hiyo ameamu kuuza baadhi ya vitu vyake vya ndani kama ifuatavyo:
1. Sofa (za watu wawili*3),
2. jiko la gesi la kioo (2...
Habari wakuu,
Nahitaji kujua bei ya cooler box kama inavyoonekana katika picha. Kwa ajili ya biashara ya maji na vinywaji vingine vinavyohitaji ubaridi
Gari iko kwenye hali nzuri
Haidaiwi wala haijawahi kupigwa rangi
Automatic gear
4wd
Petrol engine
Bei ni mil6, maongezi kidogo yapo
Njoo 0763969066 tuzungumze
Gari iko dar kigamboni
Nauza king'amuzi cha azam chenye dish lake pamoja na TV inch 21 ain ya Mr. UK vyote vikiwa na remote zake.
Bei yake ni laki tatu (300,000) kwa vyote.
Viko Dar, Nichek PM tufanye biashara...
Habari zenu wanajukwaa...
kwa mara nyingine tena, ninapenda kuchukua fursa hii kutangaza kitabu cha ZAWADI YA USHINDI cha BEN MTOBWA kwa wale wote wanaohitaji. Bei ni shilingi 7000.
Mpaka sasa...
Habari wapendwa.
Mimi ni kati ya watu ambao tupo jf na tunaonaga mara kwa mara watu wakiibeza biashara ya forex. Tunachokifanya tunaishia kusoma comments na kutulia tu. Mnaoamini kwamba forex ni...
Duka liko mbagala kibonde maji mbele kidogo ya zakhem, ni sehemu nzuri kwa biashara hususani mahitaji ya nyumbani ila naliuza kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu..friji na frizer vyote...
Habari za wana JF,
Mimi natafuta shamba la kupanda miti aina ya Pine, for export. Natafuta kuanzia 100,000 hectares and above. Nitashukuru nikipata msaada haswa nikipata sehemu za Iringa, lakini...
Samaki aina ya kambale wanapatikana kwa bei ya 8000/= kwa kilo.
tupo Kimara Suka
Njoo uchague mwenyewe kutoka bwawani.
karibuni sana.
mawasiliano
0762397421
Habari zenu nyote kwa ujumla.
Bila kupoteza muda nilikuwa naomba nielezee tatizo hitaji langu nilikuwa naomba kufahamu ninwapi naweza kupata Betri za Rongta mini thermal printer kwa aliye nazo...
Habari wana JF, nimejichanga na kufikisha kiasi cha fedha tajwa hapo juu. Naishi Mwanza mwenye kuuza hilo gari tuwasiliane kwa simu no 0767932386. Popote litakapo patikana ndani ya nchi kwa bajeti...
Habari zenu Wana If,
Tunatoa Huduma za Bima zifuatazo
1.Bima za Magari/Vyombo vya moto
2.Bima za Afya
3.Bima za Safari
4.Bima za kusafirisha mizigo
5.Bima ya nyumba
6.Bima ya moto
7.Bima dhidi ya...
Mambo vip?
Nina vitunguu maji zaidi ya gunia 80. Viko shamba Morogoro, Kijiji cha Msowelo. Nitauza kila gunia Tsh. 80000 tu.
Sina mpango wa kuleta mjini wala Dar sababu yalinikuta makubwa...
Kibanda kizuri cha kufanyia uwakala, kinachohamishika kinauzwa.
ibanda hicho kipo Mwenge karibu na Bodi ya Mikopo.
Bei ni laki tatu tu (300,000/=)
Mawasiliano;0765494548
picha ya kibanda hio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.