Call:0679531937/0754405179/0689378424
Mark 2 Grande Gx110
Year:2001
1980cc,1g vvti
Haina tatizo lolote/Haidaiwi/Full AC
Bei:Milioni 4.5
Ipo:Kariakoo
NOTE:MIMI NDIO MMLIKI WA GARI
Natafuta Mashine ya kukamua mafuta ya alizeti ka kuna MTU yeyote anayehusika na uuzaje Mashine hizo..Naomba tuwasiliàne kwa namba hii:+255758136016
Nipo mkoa wa Rukwa,tz
WAKUU NAHITAJI CHUMBA
AU MWENYE ANAPANGISHA VYUMBA MAENEO HAYA TAFADHALI
AU HATA
-Anayejua chumba maeneo ya Mabibo hostel, Sinza, Changanyikeni,Survey,Makongo juu,Ubungo External, Mwenge na River...
Nimekuwa nikiona wengi hasa wakaanga chips wakitumia hizi pumba zenye moto mkali sana kama chanzo cha nishati ya moto.Kwa mwenye uhitaji please awasiliane nami maana ninazo nyingi uwezo wa kujaza...
KWA MTU YEYOTE ANAYEWEZA KUNITENGENEZEA PRINTED BUSINESS CARDS PAMOJA NA FLIERS/BRONCHURE KWA AJILI YA HOTEL ANICHEKI KWA 0755544219. UBORA WA KAZI NA BEI VITAZINGATIWA
Nauza Excavator Hitachi Zaxis 210 LCH Tsh. 130,000,000. Mazungumzo yapo kwa muhitaji.
Excavator ipo Mbeya Wilaya ya Chunya. Mashine yake ni ya ISUZU, ipo vizuri sana kwa maana haijawahi kufungiliwa.
Camera canon 5d mark ii
Lenz 28-105mm
hii lenz una option zote wide 28mm mpaka 35mm then unapata 50mm na pia ukika potrate focal length 85mm still unapata unaenda hadi 100mm ambayo ni macro...
Ndio ni uhondo wa subwoofer aina ya boss yenye volume 62 bei ni laki 130.000 inatumia bluetooth, memory card, flash, usd pia unaweza kutumia pamoja na dek na tv mikoani natuma dar nakuletea ulipo...
Habari,
Nataka kuanzisha Online TV.
Je ni vitu gani nahitaji kuwa navyo vya msingi kabisa?
Je nahitaji kulipia bei gani (ni ya kidini, siyo kibiashara)
Msaada tafadhali.
Na kama mtu yupo tayari...
Habari wadau bila shaka mpo salama
Kwa machinga,mfanyabiashara au mdau yoyote wa bidhaa za urembo jijini Mbeya naomba mnielekeze ni wapi ntapata bidhaa hizo kwa bei ya jumla na kwa bei nafuu pia...
Sasa ipo rasmi Septemba Mosi, 2019 mtashusha bei baadhi ya vifurushi, inatakiwa mfahamu sio wote wanaomiliki ving'amuzi vya Dstv ni wapenda kandanda, yupo mteja analipia kifurushi cha Bomba...
Mwenyewe anahamia Dodoma
Viko maeneo ya mkuranga town
Kabati la nguo milango miwili (mlango mmoja kioo) tv showcase ya mbao ya mninga na radio kubwa
Kabati na tv showcase 150k kila moja.
Radio...
MASHUKA MASHUKA MASHUKA
Pata mashuka ya cotton nzito kwa bei ya jumla na rejareja.
Mashuka yanakuwa mawili king size futi 7kwa8 yanafit godoro lolote. na foronya 4.
Kuna 7/8 ina shuka 2 foronya...
Novels ziko nyingi sana. Na zote ziko well selected, ni story za kusisimua
Call/ Sms/ Whatsapp 0688616402 ujipatie yako
Tunapatikana Dar es Salaam, nje ya hapo pia utatumiwa
Holiday season...
Atakayenunua earphone leo kwangu atajipatia na card reader/adapter ya bure. Earphone ni 6000 tu bei ya offer. USB cable wire ni 6000 tu urefu wa mita moja. Offer hii ni kwa leo jumatatu na kesho...
Shule ya msingi Top Layer Pre &Primary School iliyopo kimara bonyokwa imeshusha ada zake zilizokuwa zikilipwa 1,200,000 kwa Primary na kufikia 850,000 na nursery kutoka 850000 kufikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.