Mpo wengi mnaofanya hiyo biashara, ili Mteja aweze kukumbuka na kukutofautisha na wengine lazima uwe na logo(Nembo) inayotambulisha biashara yako.
Karibu Ujipatie Usanifu(Designing) bora kwa bei...
Wadau!
Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu, Nina hekari 6 zipo chalinze barabara ya kwenda moshi, unashukia kituo cha mboga, kutoka barabara kuu ni mwendo wa dakika 8-10 kwa bodaboda, kipo jirani...
Nahitaji chumba cha kupanga
Location: Moshono au Njiro
Conditions: double self, umeme wa kujitegemea, kisiwe mbali na barabara
Budget: laki mbili (200,000/=)
Kwa yeyote atakae weza kusaidia kwa...
Wakuu naomba msaada kwa anaefahamu ni sehem gani kwa Dsm ninaweza kupata bidhaa tajwa na bei yake. Ni kwa ajili ya kusafishia viatu badala ya kutumia sabuni zetu za unga na kuanika kwenye jua...
Umeshawahi kusemwa (au kuchekwa) na watu eti kisa ''gari lako chafu?''
Unawajua hawa watu. Wanapenda sana kufuatilia mambo hayawahusu. Wasione kitu na wanaanza kukosoa. Hawajui unapitia...
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kutoka kwa wateja wetu juu ya hizi simu za iphone kutoweza kutunza chaji, watu wengi wana lalamika kuwa simu hizi hazina uwezo wa kutunza chaji.
Je umeshawahi...
John Deere, kampuni yenye uzoefu wa muda mrefu katika uzalishaji wa zana za kilimo na matrekta, imeingia Tanzania na inauza matrekta madhubuti kwa thamani halisi ya fedha zako.
Ofisi zetu zipo...
Habari zenu watu mlioko Mjini.( Dar & Mwanza & Arusha) Naomba msaada wa kufahamu bei za mabati kampuni ya alafu, hususani Gg 30 migongo midogo.
Napatikana Nyancheche mpakani mwa Izyiko na...
Habari.
Naomba muongozo wa kusafirisha mtungi wa gesi (jiko dogo la gesi) , kabati (si la mbao, liko packed tayari) Vyombo vichache vikiwemo vya dongo pamoja na chandarua. Kutoka Singida mjini...
Habari ya leo waungwana,
SEBABIC METAL WORKS ni wajasiriamali tunaojihusisha na kazi za vyuma (Metal works) na uchomeleaji (Welding). kwa ujumla tunajihusisha na shughuli zifuatazo:-
>Steel and...
Kama kichwa cha habari kisomekavyo, nina tv langu lanisumbua na nimepeleka kwa fundi mmoja maeneo ya kawe kumbe fundi mwenyewe fundi uchwara! Kwa yeyote anayejua fundi gan mzuri wa tv anisaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.