Karibu katika uzi huu maalum kwa ajili ya biashara ya furniture...
Nitakuwa nauza furniture mbalimbali kama sofa, dinning table, vitanda, kitchen cabinets sambamba na makabati bei ya mnada...
Wakuu nahitaji chumba. Anayepangisha vyumba maeneo haya tafadhali naomba tuwasiliane.
Au hata:
-Anayejua chumba maeneo ya Mabibo hostel, Sinza, Changanyikeni,Survey,Makongo juu,Ubungo External...
Ofisi zetu zipo Dar es Salaam Mwalimu Nyerere Pension Tower tunaitwa AdvaTech Office Supplies Ltd ,sisi ni kampuni ambayo imeteuliwa kama Wakala wa kuuza hizi mashine.Hakika mashine zetu ni bora...
Habari wakuu,
Nahitaji tena nokia Obama sita (nokia 1280) zile nokia za button imara toleo la zamani (zisizofutika button haraka kama za kariakoo za sasa hivi). Nataka nizitumie katika shughuli...
Habari wadau leo nimejitolea kushare na nyie kidogo nijuacho kuhusu mabati nikiwa nimefanya kazi katika viwanda vitatu,ando roofing,quansheing na sun share badae nkawa agent.
Ntaanza na mambo...
[emoji117] Kufundishwa namna ya kuandika= *Concept Paper + Research Proposal + Research Report*
[emoji117] Kufundishwa na Kuandikiwa= *Business Plan + Katiba za Vikundi + Mpango Mkakati + Taarifa...
PATA BLOOD PRESSURE MONITOR NA STETHOSCOPE KWA BEI POA, MASHINE HIZI ZINAKUPA MAJIBU HALISI YA PRESHA YAKO.
Bei ni 80000 tu kwa set,
Napatikana Morogoro kwa sasa
0742124788 au 0713491334...
natafuta shamba kwa ajili ya kupanda miti mkoa wa Iringa, njombe, ruvuma na mkoa ya jirani na hii. Anayejiona ni muuzaji halali wa shamba aniPM
Kabla hujawasiliana na mimi Hakikisha shamba lako...
Nakodisha mashela MAPYA na yaliyovaliwa kidogo. Bei ya ofa ya kufungia mwaka. Shela lolote utakalochagua bei ni 150,000/ wahi sasa uchague kilichobora upendeze kwenye Harusi yako Kwa bei Chee...
Habari za mapumziko ya wiki ndugu zangu!
Tumshukuru Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehma kama tumejaaliwa kuwa wazima hadi muda huu kwani kuna wengi wapo vitandani wanaumwa, wengine wanaelekea kuzikwa...
Kwa mahitaji ya accessories za solar kama water pumps, solar heaters, street lights, outdoor lights, garden lights na items zote za solar orijino kutoka ujerumani pamoja na ufundi wasiliana nasi...
Mimi ni kijana wa miaka 25 nimehitimu form six mwaka 2017 nikapata Division 3 ya point 14, yaani PCB=DEE ambayo sikustahili kupata mkopo wa serikali, na kutokana na uchumi pia nilishindwa hata...
Habarini za majukumu mabibi na mabwana. Nauza simu ndogo Samsung SM-B310E double line ina torch na sehemu ya memory card pia inatumia charger ya smart phone.
Nipo Mwanza. Mawasiliano 0769467836
Tunatoa hufuma ya MAFUNZO kwa MBWA aina zote kwa ISHARA na SAUTI.... Tunatoa mafunzo ya UTII, UKALI na vinginevyo kulingana na mahitaji ya mteja pia BOARDiNG zipo bei nafuu
+254758650568 whatsup...
Habari nauza King'amuzi cha antenna cha startimes kwa bei poa sh 35000/ tu kipo kwenye hali nzuri local chanel ni bure kipo DSM Kitunda mwenye uhitaji anicheki 0715992666
Yule kijana machachari asiye na macheko na hela al maarufu kama Ontario au sir_jeff Dennis, ameanzisha kongamano maalum kwa ajili ya kuwainua vijana kiuchumi na kifkra, nyote mnakaribishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.