Kiwanja kinauzwa heka 4, kipo bagamoyo kilomo kilometers sita kutoka barabara kuu ya bBgamoyo, upande wa kilomo shule ya msingi, ukienda Bagamoyo upande wa kushoto, uliza kilomo shule.
Bei ni...
I hope everybody is ok in the house.
Janga kuu la mvua zinazoendelea kunyesha ni mafuriko ambayo yamesababisha baadhi ya watu hasa wale wanaoishi mabondeni kukosa makazi pamoja na kupoteza mali +...
Cheers wadau,
Kwa wale ndugu zangu wanaohangaika kupata mafuta ya alizeti, tutawasaidia yanapatikana kwa uhakika na haraka zaidi.
Kwa sasa madumu yaliyopo ambayo hayana oda ni 100. Tunapatikana...
Ndio Clinic pekee ya NATUROPATHIC hapa Tanzania, tunatoa huduma za kitaalam na kwa kutumia herbs na food supplements, Naturopathic Doctors wetu watakufanyia body screening ili kujua chanzo cha...
Habarini wakuu!
Nauza laptop aina ya asus,ina muda wa miezi mitatu tangu nilipo nunua na aina shida yeyote
Bei ya kuuzia ni laki nne na ishirini kwa muhitaji anaweza kunicheki pm tukawasiliana...
Computer & Mobiles Technicial Solutions
COMPUTER UPGRADE, REPAIR AND SOFTWARE INSTALLATION (MAC&WINDOWS)e.g
Installing
Windows XP, Windows 7, Windows 8, Windows 8.1 and Windows 10(Pro, Home...
Habari wana JR !
Natumai wote ni wazima wa afya , bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye swali langu.
Mwisho wa mwaka huu rafiki yangu anafunga ndoa lakini mpaka sasa hajajua wapi...
KWA NINI UPATE SHIDA ZA TYPHOID, KANSA YA UTUMBO MPANA, VIDONDA VYA TUMBO? tumia water purifier filter yenye uwezo wa kuzuia particles za vumbi, kutu ambazo husababisha kansa ya utumbo particles...
Habari wakuu.
Kama mada inavosema.
Nipo interested na hizi models;
HP ELITEBOOK 840 G2 (Touchscreen)
HP ELITEBOOK 840 G3 (Touch Screen)
HP ELITEBOOK 1030 G3 (Touchscreen)
Hp Spectre X360
Kama...
HABARI NJEMA KWA WOTE WANAOHITAJI KUJIFUNZA ELECTRONICS
Najua kuna watu wengi wanapenda kujifunza Electronics designing; wale walio choka ku-copy na ku-paste na hivyo wangependa wao wenyewe...
HABARI NJEMA KWA WOTE WANAOHITAJI KUJIFUNZA ELECTRONICS
Najua kuna watu wengi wanapenda kujifunza Electronics designing; wale walio choka ku-copy na ku-paste na hivyo wangependa wao wenyewe...
Wakuu natumaini mko salama.
Kuna shule inauzwa ipo maeneo ya Kongowe Dar es Salaam na ina mambo yafuatayo:-
-Ina vyumba 12 vya madarasa
-Ina jengo la utawala na maofisi
-Ina bwalo kubwa
-Ina...
NATAFUTA LEAD OXIDE PbO (Powder), Zinc Plates
Naomba kwa yeyote anaye jua mahala pa kuipata kg 1 tu tafadhali anifahamishe, ni kwa ajiri ya laboratory tests for education purpose only aidha...
Hello.
Ninashida sana ya oven ndogo inayotumia gas mwenye nayo please tuongee biashara au kama anajua bei zake kwa Dar es Salaam maana mimi nipo Mkoani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.