SIDO kwa kushirikia na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) inatarajia kuendesha mafunzo ya usindikaji wa vyakula kwa akinamama na vijana mwishoni mwa mwezi Novemba 2019.
Mafunzo hayo yatafanyika...
used computer for sale
brand: HP
Ram: 4gb
HHD: 500 GB
Haina shida yoyote isipokuwa haikai na charge
Bei: 150,000 tshs
Contact: 0712518770 dar-es-salaam
Habari wadau...ninauza tanki lakuhifadhia mafuta.Ni yale yanayoweza kuchimbiwa chini.Lina ujazo wa lita 13,500. Bei ni mil 3.5. Angalia picha ukipenda njoo 0715436360 tufanye biashara
Wadau naombeni msaada,
Nina pool table langu natafuta mtu mwenye site/sehemu nzuri kwa maana ya pub, grocery au bar kwa ajili ya kuweka pool table then tupatane malipo.
Nipo tayari kuijengea...
Kuna mama anauza eneo lake Gongo la Mboto alikuwa anajenga hostel akaishia kwenye renta.
Ana tatizo alipata stroke anahitaji pesa ya haraka kwa ajili ya matibabu.
Picha la eneo sina kufika pia...
Wana jf vitanda vilivyopo NI; KITANDA CHA 4/6 bila GODOLO kinauzwa laki 170,000 ni mninga, KITANDA CHA 5/6 bila GODOLO kinauzwa laki 260,000 ni mninga pia. KITANDA 6/6 #kinauzwa na GODOLO lake bei...
Habari wana JF
Nauza kitanda cha kisasa kabisa kutoka uturuki, pia kina swing. Bei ni 480000 tu.
Kwa anaehitaji kitanda kipo Upanga. Mawasiliano 06843 10866
Shamba / Eneo linauzwa hekari 8.
Lipo
Wilaya : Kisarawe
Kata : Msimbu
Kijiji : Mwanzo Mgumu
Kuna mto wa msimu unapita mpakani mwa shamba
Kutokea chanika stand nauli ya daladala ni Tsh 2000 mpaka...
Habari tunakodisha vyumba vipo viwili ndani ya nyumba kubwa kwa bei ya 250,000 kwa kila chumba, ina seating room, kitchen, toilet na bathroom pamoja na dining room ndogo. Pia tunakodisha chumba...
Habari
Wajuvi wa hili nipeni gharama za manunuzi ya kuni kutoka mikoani hadi kufika Dar kwa fuso/canter
Nina kijana wangu anataka kufanya biashara hii nataka kujua gharama zake ili nimpatie...
Habari ? Wana JF polen ma majukumu ya kila siku ninashida ya kufahamu maduka nayoweza pata na kufanya manunuzi ya suti za kiume hususa kwa dar ambazo bei yake ni nafuu pia .asanteni
Mashine ya kisasa (Home made) ya kufanyia mazoezi ya viungo inauzwa.
Kupitia mashine hii unaweza kufanya mazoezi ya aina tofauti tofauti.
Mazoezi ambayo unaweza kufanya kwa kutumia mashine hii ni...
Kama kichwa cha habari kinavojieleza mwenye kujua chumvi hii inapatikana wapi ani PM au anijuze humu 06****473 Ni nzuri kwa wagonjwa na wazee Mara ya mwisho niliipata Choppies ya Aura mall lakini...
wana jf naitaji mteja #serious apige 0677423349; sofa izo wapo 3;1:1 bei LAKI 450,000 ila sofa kubwa lakubadilisha cover: location kijitonyama Dar es Salaam
Habari za leo wakuu?
Mimi ni mjasiriamali nlioamua kujaribu pia na kilimo, shida yangu kubwa ilionifanya niandike uzi huu ni kupata kujua soko la zao la mpunga na bei elekezi kwa gunia la kg...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.