Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wana jamii forums natafuta ninunue gari iliosimama hardtop single cabin landcruiser pickup model iwe juu ya 2010 macho ya panzi niko serious offer yangu 65million
1 Reactions
3 Replies
2K Views
*PATA VITU VIFUATAVYOO USED* Sofa zipo tatu kila moja 170000 Meza ya kioo 250000 Meza duara urembo 130000 Dressing table elfu 60 tu Meza ya jikoni laki moja na 20 ina droo zake Friji zipo nne...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ni infinix smart3+ Used 3months Mwenye hizo simu tuchekiane Pm WhatsApp 0755102030
0 Reactions
1 Replies
651 Views
1. Iwe mitaa ya karibia na Ubungo; isizidi kimara Korogwe kutokea Ubungo. 2. Eneo liwe linafaa kwa biashara ya Saluni ya kiume. Mtaa uwe umetanuka (Uswazi) 3. Bei iwe rafiki, 60k TZS (Kama zaidi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wazima? Mimi huwa nimebase sana kwenye cosmetics na electronics kidogo Nanunuaga aliexpress hata kwa jumla na site nyinginezo Sasa naona alibaba vitu ni cheap sana issue inakuja ni shipping...
3 Reactions
104 Replies
12K Views
Kwa bando la Voda GB.60 Yaani GB.10 kila MWEZI Kwa Miezi 6 applications maalum ambazo nitakupatia zenye uwezo wa ku bypass traffic za provider wako wa internet na kukuruhusu wewe mtumiaji...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Bodi ya mikopo imetoa majina awamu ya pili kwa wanufaika na mkopo wa elimu ya juu 2019/2020! Katika hilo mdogo wangu hajabahatika hadi sasa kwa awamu zote mbili na kila ninapoingia kwenye...
0 Reactions
2 Replies
740 Views
Wakuu habari!! Nipo Dar es salaam
0 Reactions
3 Replies
985 Views
Ina vyumba vitano bafu na choo ndani, ina vyumba vingine uwani viwili vyenye choo na bafu, ina eneo kubwa kwa mbele na nyuma pia ina eneo kubwa, gari inafika hadi mlangoni Bei milioni 46...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wandugu wa hapa jf naombeni msaada wenu, nahitaji kununua pool table kwa ajili ya kuweka kwenye bar yangu Nipo Mwanza naombeni mnijuze pa kununua
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wakuu nawasalimu nyote,kuna tv flat inch 25 SINGSUNG toleo la kwanza kabsa kitu og imetumika miezi miwili tu inauzwa kwa Tsh 220,000/= Kwa serious buyer njoo pm au call 0657955212 wahi mapema...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
1.Brenda SOLD Ujazo: 1.5 litre Condition: MPYAAAAA KASORO BOX Bei: TSH. 75,000/= BEI INAPUNGUAAAAA! LOCATION: UBUNGO DAR ES SALAAM PHONE# :0764232348 2. Tecknet wireless keyboard mini bluetooth...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Gari aina ya Fuso ni tipper inauzwa kwa muhitaji anitafute kwa namba 0753366279
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mwenye Spare zifuatazo za landrover freelander (1998) anichek Kioo cha mbele Control box Dash board Taa za nyumba mbili moja ya juu nyingine ya chini Cv joint Brake system , Call /Whatsap...
0 Reactions
5 Replies
806 Views
Nauza mashine za popcorn zainazotumia umeme bado mpya kabisa..tupo kariakoo Call................0788 929 673 WhatsApp......0742 066 161 .......TUPO KARIAKOO KARIBUNI SANA......
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza. Nahitaji mfumo rahisi utakaonirahisishia mahesabu katika kampuni. Yaani uwe na; Ninachotarajia kukusanya Nilichokusanya Nilichotumia Ninachodai Ninachodaiwa Pia...
0 Reactions
0 Replies
515 Views
  • Closed
Idris by foreman Namba 41 inauzwa imevaliwa mara 6 tu. Nipigie 0715531232
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hii biashara nakumbuka ilivuma sana miaka ya 2012-2014. Tuliambiwa mayai haya yanafaida lukuki za kiafya lakini Sijui ni nini kimetokea maana yamekuwa adimu kweli kweli. Mfano, leo nimezunguka...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Toyota raum inauzwa million tisa iko katika hali nzuri ikiwa na vibali vyote haijawahi kugongwa na ni namba D
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini zenu wanajamvi. Natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba vitatu. Nyumba isiwe mbali kutoka chuo kikuu cha muhimbili.
0 Reactions
0 Replies
751 Views
Back
Top Bottom