Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Karibu mteja kutoka jf ujipatie sofa la watu 2 ni full NGOZI unapangusa tu vumbi likichafuka, sofa hili linauzwa kwa sababu kunashida na inatakiwa hela ya fasta bei laki 250,000 njoo uchukue kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninauza kalamu zenye kamera na Saa zenye kamera. 1. Kalamu yenye kamera bei @ 65,000/= 2. Saa yenye kamera bei @ 110,000/= Vifaa hivi ni vipya. Napatikana Dsm maeneo ya temeke
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Nauza mabegi na pochi kwa kutumia batiki na vitenge karibuni 0658014505 whatsapp kwa picha na bidhaa zaidi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wapendwa, Leo nimeamua kuwaletea vitabu vya Kiswahili ambavyo vingi kupatikana kwake ni ngumu na hata vingine vilikuwa vimefungiwa kutokana na maudhui na mafunzo ndani ya vitabu hivyo na...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Ninatafuta chumba kiwe na choo ndani na kiwe kikubwa au chumba ,sebule na choo ndani pia luku iwe ya kujitegemea . Eneo! Kuanzia ubungo mawasiliano hadi mwenge . Phone 0657366601 Sent using Jamii...
0 Reactions
1 Replies
739 Views
We are registered company deals with; House plan design and certify, Site consultation and supervision, Design and Installation of building services (water supply and waste water system, AC, CCTV...
0 Reactions
0 Replies
372 Views
Habari za kazi wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema. Kuna dogo anakuja Dar kujiunga na masomo so namtafutia chumba/Hostel eneo tajwa hapo; hasa mabibo mpaka ubungo hicho kipande. Kama kuna...
0 Reactions
2 Replies
996 Views
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza mayai ya kienyeji, tray ni Tsh.11,000 Mawasiliano 0764 728 440. Napatikana Dar, Tuangoma
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Salamu kwenu wote. Nahitaji kununua Electricity Inverter yenye capacity ya 3000 watts yenye uwezo wa kuconvert dc 24volts to ac 240 volts. Kwa yeyote mwenye nayo au mwenye kujua wapi naweza...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Kwa mahitaji yote ya Series nzuri zilizowika kitambo na zinazovuma kwa sasa, fanya kunicheki PM Bei zangu ni rahisi mno na zinapungua kulingana na ukubwa wa mzigo unaochukua Vyote vinapatikana...
0 Reactions
158 Replies
19K Views
Nauza sabuni za magadi kutoka Kigoma original kabisa katoni bei ni Tsh Elfu thelathini (30,000) na inakuwa miche ishirini (20) kwenye katoni. Call : 0788 929 673 Whatsapp: 0742 066 161 Karibuni sana
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii ni offer Kabambe ya viwanja vya makazi kwa bei nafuu, Wahi mapema ujipatie chako, bei yetu, Sasa ni Milion 1.3 tu. Tunauza Viwanja vizuri sana Vilivyo katika mpangilio mzuri wa mitaa. Ukubwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari; napangisha nyumba ama apartment mbezibeach
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habarini, Nina shida na wazalishaji wa vifungashio vya viburudisho (snacks) kama vile vya chips snack, diamond karanga au kahawa! Naona kwa Tanzania vimekuwa na ugumu kupatikana kidogo ila kama...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hellow wadau nahitaji kuanza kutengeneza sabuni ila nahitaji kujua hizi materials bei yake na zinapatikana wapi? Lengo ni kuweza kujiandaa kifedha baada ya kujua bei ya kila material Napenda...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari wanajukwaa, Natafuta nyumba ya vyumba viwili ya kupanga maeneo ya Makumbusho, Morocco, Kinondoni Budget yangu ni 350,000/- kwa mwezi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wan JF wenzangu, Nawasalimia. Kwamtu yeyote aliye na contacts au anayejua wanunuzi wa asali (asali genune) walioko popote Tanzania hususani Dar naomba anisaidie contact zao au ili niweze...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari za saa, Kama kichwa cha ujumbe kinavyojieleza. Natafuta banda la kufugia kuku / eneo la kufugia kuku (chotara ) Bajeti niliyonayo haitoshi kujenga kununua eneo na kujenga banda. Hivyo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom