Kiwanja cha makazi kinauzwa.
1. kigamboni gezaulole
2. Ukubwa sqmeter 1326
3. Kipo mkabala na fukwe ya bahari. Koko
4. Kimepimwaa na hati ipo mkononi.
5. Umeme umefika mpaka kiwanjani.
6. Low...
Nauza nyumba kwa bei ya tsh 14m tu.
Nyumba ina vyumba vitatu pamoja na sitting room.
Pia ina umeme na ipo karibu na huduma ya maji.
Ina eneo kubwa.
Nyumba ipo Morogoro mjini kata ya Kihonda 1km...
Wakuu naulizia wapi nitapata proffessional short course ya kurekodi video na kupiga picha kitaalamu Kwa kutumia digital camera au video shooting camera, natafuta ujuzi wa hvi vitu hasa Kwa mambo...
Unahitaji ng'ombe au mbuzi wa kisasa?
Habari wanajamii,
Soma kipeperushi kilichoambatanishwa hapa chini,
Wanyama hawa wanapatikana Kenya, ni pure breed,
Bei zinatofautiana kulingana na umri nk...
Wiki mbili zilizopita niliweka tangazo la kuuza banda la kuku 400 na kwa haraka wanaojua nini maana ya ufugaji walichukua siku ya pili baada ya kupendezewa nalo.
Na wadau wengi walinipigia simu...
Habari wakuu
Nauza simu iko poa kabisa kwa anayehitaji anipm nitafute kwa 0622269523 tufanye biashara
Specification
*storage 16gb
*Ram 2gb
*network 3g
Serious buyers are only needed here
Nipo...
shamba lenye ukubwa wa ekari 71 lilikopo mkuranga(Msolwa) shamba lipo sehemu nzuri kuna kiwanda na shule private karibu, upande wa kusini na mashariki kuna kijimto kidogo ni pazuri pia kwa wapenda...
CHUKUA TAHADHARI MSIMU HUU WA MVUA.
Ni rahisi kuhatarisha maisha yako, ya abiria wako, ya watumiaji wengine wa Barabara na chombo chako pia iwapo utakuwa na taa zenye mwangaza hafifu.
CHUKUA...
Wasalaam waungwana!
Katika kujaribu kuendana na kasi ya Mh. Rais nimefikiria kufungua stationary kama kazi inayoendana na taaluma yangu ya ualimu nimeona itanifaa.
Katika hilo basi naomba ushauri...
habari zenu wana jf.mimi nna ruby lakini ni high caboshon toka longido..natafuta soko la uhakika..kama kuna mtu ana connection nzuri afahamishe..asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.