Naomba kujuzwa mahali nitakapopata nywele za jumla za wanawake kama darling, jambo na masai braid ili na mimi niziuze kwa jumla naomba kujua carton ni kiasi gani? Wataalam wa hii biashara naomba...
Habari wana JF
Naomba kufahamishwa wapi naweza kupata mabox ya kubebea vifaranga. Ni mabox ambayo huwa yametobolewa kuruhusu hewa kwa vifaranga wakiwa wanasafirishwa.
Nawasilisha
Wakulima na wafugaji Mambo vipi!
Nina plan za kufuga bata wa kienyeji aina ya Muscovy, nataka kufuga kibiashara zaidi, kuanzia mwezi ujao nataka niwe nimeshaanza project hii.
Sasa naomba...
ROONIE_GRAPHICS _TZ
Tunatoa huduma za graphics design, brand, print & deliver kwa BEI NAFUU*
HUDUMA ZETU NI:-
UCHORAJI KATUNI PICHA
KUEDIT PICHA (BACKGROUNDS & RETOUCH)
MUSIC COVERS
BIRTHDAYS...
inatumia cd
inatumia flash
inatumia bluetooth
bei 720,000 (laki saba na elfu ishirini)
inapungua kidogo
kwa maelezo zaidi 0687 089980
iko mkuranga, ukilipia utasogezewa mpaka mbagala.
Karibu,
( Chini nimekuwekea baadhi tu ya picha ili uone. )
Ok, kwanza naomba nikuambie wewe mfanya biashara kwamba katika dunia hii ya leo ya utandawazi BIASHARA NI MATANGAZO.
Pengine unaweza...
Rafiki yangu wa JF mzima wewe?
Kabati la vyombo milango 3 linauzwa bei laki 400,000 lipo vizuri kabisa.
Hili kabati lipo Dodoma, itapendeza zaidi kama na wewe upo Dodoma, ila kama upo mikoa...
Naitaji fundi wa kuja kunifungia Dish la Azam Media Nyumbani kwangu Goba, na hilo dishi tunalifungua Makongo Juu
kama kuna mtu yoyote ambae anaweza kufanya hiyo ishu anicheck kwa namba 0713 634679
Wadau hamjambo, nataraji kujiunga na masomo Saut Mbeya, ila nataka pia kujishughulisha na kilimo hasa maharage, mwenye uelewa wa namna ya kupata mashamba ya kukodi plz anijuze
Nauza, Hitachi Electric Oven with convection and rotisserie function.
Rangi ni Nyeusi, na haijatumika bado.
Price: 200,000/=
Kwa mazungumzo zaidi, karibuni DM.
Habarini wadau...nauliza jiko la aina gani ni nzuri la gas..maana yako meni kina nikai..west point...hitachi..sasa lipi ni nzuri kwa maana ya kwamba halitumiii gesi nyingi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.