Vinauzwa jointly bei 200 Cash , Mtungi UMEJAAA kampuni ya orynx kilo 32.5kg , jiko ni used for 4 months plates 2 KIOO safi na, pipe na gas meter yake, njoo ubebe mzigo sawa na bure!
Nipm...
Habari za leo ndugu zangu.
Natafuta gari ndogo ya kufanyia kazi ya taxi. Ninaishi Dar es Salaam, nina uzoefu wa kazi hii kwa muda kidogo, pia nina account za makampuni makubwa kama Uber, Taxify...
Nauza simu kwa bei nafuu
Tecno W4
Ukubwa wa Kioo - Inch 5.0 chenye teknolojia ya IPS LCD capacitive touchscreen, chenye uwezo wa kuonyesha rangi miloni 16 pamoja na resolution ya 720 x 1280...
Wadau wa maendeleo,
Nahitaji a power cable/USB adapter ya Kinect XBox 360 Sensor ya kuweza kuconnect Kinect Sensor kwenda kwenye computer.
Hata ikiwa used ni poa, muhimu iwe inafanya kazi. Ni...
Suzuki Escudo HellHassen Inauzwa iko katika hali nzuri
Year Of Manufacture; 1998
Engine capacity;1590 CC
Four wheel drive
Five doors
Transmission;Automatic
Bei Million 7.5
Kwa anayehitaji...
Wakuu habarini,
Natafuta display ya PC toshiba, Mlango wa CD na keyboard. Na bei zake itapendeza. Na fundi mzuri.. Nipo mkoani wiki ijayo nitakua DSM ili nijue nijipange. Ahsanteni.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Tunauza miche ya parachichi ambayo imeshafanyiwa badding tayari kwenda shambani.
AINA: Hasi.
MUDA: Miaka 2-3.
MAHALI: Makambako.Njombe.
MAWASILIANO: 0744...
Xiaomi Mi Band 4
Specs
Display -------------------0.95" AMOLED Display, 120*240 Pixels
Battery ------- -----------135mAh battery compacity,Up to 20 days (Recharging time ~2 Hours)
Water...
Wanabodi...!
Anahitajika haraka dalali/madalali wa nyumba, viwanja na mashamba kutoka mkoa wa Morogoro, anayeishi Morogoro Mjini.
Kwa maelezo zaidi ani PM haraka iwezekenavyo ili tuyajenge...
Kuna master, chumba na sebule jiko, choo na store (laki moja) Chumba peke yake kuna cha elf 40 na cha elf 30. Maji yapo, vyumba vipo karibu kabisa na stand mpya ya Mbagala kuu.
Mawasiliano...
Kama kichwa Cha habari kinavyosomeka, Tunauza miche ya Parachichi ambayo imefanyiwa Badding. Tayari kwenda shambani.
AINA: HASI.
TULIPO: MAKAMBAKO, NJOMBE
MUDA WA KUZAA MATUNDA
Ni Miaka Miwili...
Gari aina ya toyota land cruizer vx inauzwa, iko katika hali nzuri sana, ni manual na inatumia disel..!!!
Haina udalali, gari ni ya kwangu. bei sh million 30, but inashuka kidogo
Kwa mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.