Wakuu, habarini za jioni.
Naomba mwenye kufahamu namna ya kutengeza matangazo ya biashara anifahamishe. Huwa yanatengezwa vipi? Nina interest ya kuanza kazi hii ila sijui nianze wapi.
So please...
Habarini wana Jf, poleni na majukumu
Naomba kuelekezwa mahali ninapoweza kupata ID holder kwa bei ya jumla, rangi tofauti pamoja na sehemu yakuziprint
Shukrani.
Guys naombeni kujua jinsi mchele grad one unavyokua au kuonekana au wapi unapatikana ili nisijekuingizwa mjini maana ndio kwanza bado mgeni please [emoji120] I need help
Tunauza mayai ya bata mzinga.
Bei zetu: Bei ya yai moja Tsh 4,000/=. Trey moja 120,000/=
Namba za mawasiliano: 0762 355 114. Number za WhatsApp: 0762 355 114
Mahali tulipo: Mkoa wa Tanga...
Tecknet wireless keyboard mini bluetooth keyboard;
-Backlit keyboard
-support ios, android and windows system
- condition: mpyaaa
- price: Tsh.40,000/= bei inapunguaaa
Free delivery in dsm
Phone#...
Ni 3 In 1
Inafanya Printing, Scanning na photocopy, iko katika hali nzuri na imetumika miezi mitatu tu.
Bei yake ni 400,000 TZS na kila kitu chake kipo ikiwepo setup CD na cable wires zako. Mzigo...
Nataka nkanunue bodi za mtumba Kali kwa bei nzuri na Mimi nikauze,, karume ni siku gani Mara nyingi wanakata hizi belo.. Na muda.. Msaada tafadhali wana jamvi. Bei isiyozidi 2500
CHEREHANI YA KUTUMIA MKONO
Bei ni TSH 20000
yenye ukubwa wa _Stepler pin machine_ ambayo unaitumia kushona palipochanika/kufumuka kwa urahisi. Inashona kama cherehani ya kawaida...
Umri ni wiki 1. Bei kanga 5000/= bata mzinga 10000/= hadi Jumapili hii. Niko Dar Kongowe.Ikifika J3 bei itabadilika. Karibu kwa 0713 802075 pia wako wa miezi minne kanga 20000/= bata mzinga 60000/=
Rafiki yangu mpendwa,
Mwezi Oktoba mwaka 2016 nilitoa toleo la kwanza la kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA. Kitabu ambacho kilikuwa na maarifa na mwongozo sahihi kwa yeyote anayetaka kuingia...
Tecno Camon CX Imetumika only 2 Months. Bei ni 250,000 hadi 200,000 mwisho.
Specifications zake:
5.5-inch IPS Display, 1080 x 1920 pixels (400ppi)
1.5GHz octa-core Mediatek MT6750T CPU with 2GB...
Kama unahitajia mayai ya kisasa dar au mkoa wowote tuone.
Bei dar ni
Makubwa 4400
Size ya kati 4000
Madogo 3000
Mkoani maelewano.
0654567777 mwananyamala
Habari ndugu wana jf
Kwa yoyote mwenye godoro la 5×6 aniuzie
Nahitaji godoro used la 5×6
Ningepata ningefurahi sana
Nichek pm au kwa namba 0759 432 654 au whatssapp pia
Karibuni wana jf; vyombo vinauzwa pamoja na Kitanda 5 *6 kitanda bila GODORO kwa laki 300,000 njoo uchukue location mabibo dar es salaam piga 0677423349
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.