Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau ninatafuta mtu anayeweza kutengeneza tanki la chini kwa ajili ya kukusanya maji ya mvua. Eneo ni Mlandizi Mbwawa. Naomba unipe na makadirio ya gharama mfano tanki la lita 50,000 gharama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji kiwanja maeneo ya KIBAHA au CHANIKA ila sina hela cash hivyo kama kuna kampuni inayokopesha viwanja na kulipa kidogo kidogo kwa kukatwa kwenye mshahara wangu nipo tayari. -Kiwanja kiwe...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wakuu! Nina mpango wa kuanzisha mini bakery, kwa mwenye details za vifaa kama jiko la kuokea na vifaa vyake, mixer, slasher anijuze tafadhali! Nikipata na bei kwa kila kifaa itakuwa bora...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Naomba tafadhali kama kuna mtu humu jukwaani anayejua sehemu ambayo wanauza Battery Mpya za Laptop hapa Dar, anijuze. Mubarikiwe na Bwana
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jukwaa nimekuja kwenu. Wakuu nahitaji chumba cha kupanga maeneo ya Mabibo Hostel, Sinza, Changanyikeni, Survey, Makongo Juu, Ubungo External, Mwenge na River Side. Budget yangu ni 40k 45 au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika "KUZUGA" kuwa inawajali wateja wake kampuni ya MultiChoice inayomiliki king'amuzi cha Dstv inazidi (KUSHUKA CHINI) kwa kuwasogelea wanaolipia kifurushi cha Bomba waone mechi za Klabu Bingwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wasalaam, anatafutwa fundi cherehani anaejua kushona vizuri kaunda suti/safari suti. Awe mkazi wa Dar es salaam. Mengineyo tutajuzana PM Asante.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji bati za rangi wengine wanaziita msouth za bei nzuri na zisizobabuka rangi coz kuna jirani kapaua mwezi mwezi 3 sasa hivi zimebabuka rangi yote utadhani kapaua mwaka was kikwetee
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari waungwana. Kilimo cha mahindi kwa takribani miaka 3 sasa hapa nchini kwetu kimevamiwa na viwavi wanaoshambulia shina na kuathiri mavuno kabisaa. Hali hii imesababisha matumizi ya madawa...
0 Reactions
1 Replies
719 Views
Ni mashine zinazotumia gharama nafuu sana katika uzalishaji wa vifaranga. Gharama ya mwezi mmoja ni Tshs 20,000/= kwa ajili ya ununuzi wa mtungi wa gas Kg 6. Gharama za uendeshaji wa mashine hizi...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
1. MASHINE INAYOTUMIA NISHATI YA UMEME NA ITATUMIA MAFUTA YA TAA KAMA NISHATI MBADALA KIPINDI UMEME UKIKATIKA SIFA -Inageuza mayai yenyewe (hata baada ya umeme kukatika) -Inacontrol joto yenyewe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Frem ya biashara inahitajika Arusha maeneo ya Mjini stend ndogo na maeneo ya jirani na stend ndogo kiwe kikubwa kodi isizidi 150,000/=kisiwe na matatizo na halmashauri Pia inahitajika frem ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta frem au kibanda ninachoweza kuanzisha biashara ya chips. Mahali pa biashara ni dar napendelea zaidi maeneo ya mbagala
0 Reactions
1 Replies
990 Views
hp laptop for sale Bei 180,000 Contact: 0712518770 dsm Haina shida yoyote isipokuwa betri haikai na charge
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni kijana ambaye napambana nisapotini wakuu
5 Reactions
43 Replies
3K Views
Lenovo Thinkpad mini Specs: Ram 4GB Storage 320GB Processor core i5 HDMI & vga port 3 USB ports Battery - Good condition Bei iko poa sana (650000)
0 Reactions
4 Replies
716 Views
Kama umehaika kutafuta batter ya laptop ukakosa usipate shida tena unachotakiwa kufanya unanipa battery bovu tu. Tunaenda ku repair na kurudishiwa battery yako ikiwawa inapiga kazi kama...
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Nabadilisha Toyota Vitz kwa Suzuki Carry Family. Vitz ni kali sana piga 0767 333 440.
0 Reactions
1 Replies
820 Views
Get your PC protected from Malware, virus attacks and Trojans. Get yourself Kaspersky Antivirus CD or Kaspersky Internet Security CD. Kaspersky Internet Security 2019 Software, 1 Device, 1-Year...
0 Reactions
2 Replies
723 Views
Karibuni kwa wakazi wa Dar na mikoani sasa unaweza kupata dagaa wa Mwanza na dagaa mchele popote ulipo, zaidi ya hayo samaki wa Mwanza, karanga za kusagwa pia ubuyu vinapatikana kwa bei ya size...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom