Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari Wakuu? Mimi ni mgeni wa jiji hili la Dar es salama Natokea Mbekenyera -Lindi, Naombeni maelekezo ya kufika Mikocheni B nikitokea Mbagala rangi tatu. ........Natakiwa nipande gari za wapi...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari waungwana..! Nauza Laptop zilizotumika, bei kuanzia 150,000/= na kuandelea.. Pia tunatengeneza Laptop na Desktop (Computer Maintenance) Hard Disk, Ram vinapatikana pia. Niko kariakoo...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Wadau heshima kwenu. Kwa mfugaji wa nyuki au mfanyabiashara wa asali na NTA, nahitaji NTA yenye ubora kutoka shambani kwako. Uwe tayari kutuma sample angalau kg 2 ili kuangalia ubora wa NTA yako...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ishi kistaa na kambele investment; Viwanja vya mkopo lipa mdogo mdogo bila stress bila bugudha. Viwanja vipo Boma ya Ng'ombe 20*20 million 2.5, na Arusha viwanja vipo Kikatiti & Maji ya Chai...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Itel P13 Imetumika kidogo na haina shida Internal memory 8gb Ram 1gb Charger USB cable Earhones Box lake Simu iko Tegeta Dsm Mawasiliano:0714-796778/0628-615685
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hellow forum members. I would like to inform you on my royal services. Anyone who is in need of a relaxation massage in Mwanza city kindly check me on 0759 026 697 or email at...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa, Napenda kuwakaribisha kupata huduma ya massage kwa jiji la Mwanza na viunga vyake kwa bei nafuu kabisa ili kuimarisha afya yako na kuondoa maumivu.Tafadhali piga 0759026697...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
-Photocopy machine (CANNON) @900k (Maelewano yapo). -Lamination machine @70k -Stepler machine @15k... *Vifaa vipo Korogwe-Tanga na vipo katika hali nzuri kabisa. Karibuni sana...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa mwenye nayo wakuu,,nimeingia rasmi kwenye kilimo ila water pump ziko juu kidogo dukani, kwahyo mwenye nayo used tunaweza kuongea tuuziane kwa bei ya kupoa Au anayejua duka ambalo naweza...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu? Nimeanza kilimo cha mboga mboga na Nashukuru Mungu mpaka sasa naendelea vizuri na kilimo. Changamoto kuu niliyo nayo ni Water pump. Nilikuwa naomba Kama kuna mdau anaweza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nahitaji usafiri wa kusafirisha mzigo wa mbao toka Tabora - Arusha,mbao si nyingi... Garama ya usafirishaji isizidi laki 4.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilipata mteja juzi juzi tu humu wa line zangu, ndio maana nimerudi na nyingine tena. Hizi hazijasajiliwa kwa jina langu. Zipo Njombe. Aliyezisajili yuko nje ya nchi (bado nina mawasiliano naye)...
0 Reactions
4 Replies
791 Views
Ujazo: 1.5 litre Condition: MPYAAAAA KASORO BOX Bei: TSH. 95,000/= BEI INAPUNGUAAAAA! LOCATION: UBUNGO DAR ES SALAAM PHONE# :0764232348
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Karibu mwana jf mjipatie king'amuzi cha dishi pamoja na waya wake kwa bei ya shilingi elfu 95,000 piga 0677423349 uje uchukue king'amuzi chako location. Gongo la mboto
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habar zenu wakuuu! binafsi niko powa,,nielekee kwanza kwenye mada mimi ni mjasiriamali nahtaj kufungua kibanda cha mpesa na tigo pesa ila kwa bahat mbaya sina kitambulisho chochote cha utaifa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari Nauza kiwanja changu kilichopo mbezi luis maeneo ya Mtaa wa muhimbili/Muungano Kiwanja ni kizuri na kikubwa cha ujazo wa 7600sqm kinafaa kwa makazi na biashara Kiwanja kiko karibu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
umofia kwenu natafuta wanapotoa darasa la ufugaji nyuki na kutengeneza mizinga yake.mikoa iwe morogoro.dar es salaam na pwani.popote ntafika ndani ya hiyo mikoa
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Jipatie Bati Imara Zaid Tanzania Kwa Bei Nzuri Ambazo Tunampatia.Mteja wetu Warrantie ya maandish ya miaka 10 ni DRAGON PEKEE Yenye uthubutu wa kutoa warrantie.ya maandish kwa mteja wetu...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Sisi wana KAGERA tunajivunia mafanikio makubwa ya mwenzetu SAIDA KAROLI. Kwa umoja wetu tutajitokeza kumuunga mkono pale ESCAPE ONE tarehe 6.7.2017. Umoja ni Nguvu
5 Reactions
23 Replies
2K Views
BRENDA INAYO SAGA,BRENDA INAYO SAGA,BRENDA IMARA YENYE UWEZO WA KUSAGA VIUNGO VIKAVU KAMA TANGAWIZI KAHAWA NINA HITAJI KUAZIMWA KWA MAKUBALIANO YA MALIPO MAALUM KAMA KWA KILA WIKI AU KILA...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom