Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza MAJANI ya MVUJE NIKO DAR
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu nina kuku aina ya tanbro chotara nauza wakiwa na miezi 2 tayari chanjo zote nishapiga bei kila moja ni sh 8000 napatikana Dar es Salaam maeneo ya Tabata Mawenzi Sent from my SM-G532F...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Pagale na kiwanja vinauzwa Mbezi Luis MBEZI LUIS 1KM TOKA STENDI YA KWA ROBERT, JIRANI NA BAA YA KWA MAMA NDESHI. LINA VYUMBA VITATU KIMOJA MASTER,JIKO NA SEBULE. Eneo ni 20x40. 29milioni tu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nauza camera ya Lumix GH5 full package battery 2, charge, lans 14-45 na 45-200 ipo kwenye hali nzuri kabisa yani kama mpya! nauza 4,500,000. kwa maelzo zaidi 0658644485 na picha pia nauza vitu...
0 Reactions
0 Replies
706 Views
MASHUKA MASHUKA MASHUKA Pata mashuka ya cotton nzito kwa bei ya jumla na rejareja. Mashuka yanakuwa mawili king size futi 7kwa8 yanafit godoro lolote. na foronya 4. Kuna 7/8 ina shuka 2 foronya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi, Toka jana nahangaika humu kutafuta thread fulan ilikuwa kuna mtu ameleta anauza simu za mezani unazoweka Laini na alikuwa anauza kwa bei nzuri sana. kwa ambae anaukumbuka naomba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenye kuuza au kujua wanapouza lathe machine kwa asiye ifahamu ni kama hiyo apo chini kwenye picha, naomba tuwasiliane hela ipo.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwe maeneo ya Kihonda, Mkundi, Bigwa, Lukobe au Nane nane. Pia kiwe kimepimwa. Weka na bei kabisa. Kama ukubwa sio 30*30 basi walau kiwe kuanzia 700 square meters
0 Reactions
1 Replies
957 Views
Wakuu habarini za leo, nipo mkoani nahitaji packages za asali kuanzia 5lt 1 lt na 0.5lt naomba msaada kuwapata wazalishaji/ watengenezaji wa vifungashio hivi vya asali, au pia kwa anaye jua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Karibu, mwana Jf ujipatie sofa la watu 2 kwa bei ya LAKI 250,000 ni sofa nzuri full ngozi location Tabata Dar es Salaam PIGA SIMU 0677423349 UJE UCHUKUE SOFA LAKO
0 Reactions
4 Replies
3K Views
TIXA Tumekuletea huduma ya kutuma parcel mikoani kwa bei nafuu kwa 3,500/= TU Ruti Zetu hadi sasa ni: DAR - DODOMA DAR - ARUSHA DAR - MOSHI ARUSHA -DODOMA Ruti hizi ni kwa 3,500/= tu tumeanza...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni aina ya Canon. Imetumika kwa miezi sita (6). Ipo Dodoma mjini. Sababu ya kuuza ni kwasababu ilikua ya shirika na mradi umekwisha. Bei ni lakini nane na hamsini elfu (850,000). Wasiliana nami...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuku wa Nyama wanapatikana Dar, Kiluvya Madukani ni wazito Sana,Ninaomba kuunganishwa na wateja ,namba ni 0758918144
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kaa yeyote anayehitahiji karibu kwa mawasiliano 0762521529 0773521429 Vibali vyote vipo clear Karibu!!!...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Specifications continous power 1000W input voltage 12V output voltage 230V na battery N75 12N 75AH vyote laki 2(200,000) call 0658705609 na 0714343405 . vyote brand new
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Call:0689378424/0754405179/0679531937 Vitz New Model Year:2006 990cc,vvti Haina tatizo lolote/Haidaiwi Bei:Milioni 4.5 Ipo:Dar es Salaam/Kamata/Mpingo House
0 Reactions
2 Replies
843 Views
Pakti moja inaujazo wa nusu kilo nauza elfu 5 na kilo moja elfu kumi unaletewa nakutumiwa popote
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu Nahitaji simu haraka sana kabla sijabadili matumizi ya hii pesa na kuipeleka TBL Kwa aliye na Simu Tecno camon cm kwa 130000 nahitaji tufanye biashara..pesa iko mfuko wa shati hapa
1 Reactions
9 Replies
757 Views
Fine gemstones for sell. Red Garnet, Rhodolite, green tourmaline and Amethyst Amethyst 1carat- 7000tshs Rhodolite 1carat- 10,000tshs Red Garnet 1carat- 10,000tshs For more info Call 0653284788
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Surveyed area,3 kilometers kutoka barabara kuu (main road) Bei (7500000) +255714908121
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Back
Top Bottom