Kuna eneo, linafaa kwa ujenzi wa shule
Kigamboni, Chekeni Mwasonga, Linauzwa
Umbali =29km tokea ferry
Ukubwa = Takriban eka 10
Umeme = Nguzo 6 unafikia
Maendelezo= Kuna banda la vyumba 2 na frem...
Tuna uza vitanda vya chum, magrill, madirisham tv showcase, dressing table na stand za viatu kwa bei nafuu kabisa. Ofisi zetu zipo Morogoro, Kihonda- barabara mpya karibu kabisa na duka la vifaa...
Solarpark bag inauzwa ipo kwenye hali nzur sana bado ni mpya inafaa kwa matumiz ya taa hasa sehem zisizo na umeme au kwa mambo ya utalii ni bag la mgongoni hii solar ina taa tatu adapter na...
specifications
RAM 1GB MEMORY 16 GB
ANDROID VERSION 7
cpu 1.3 GHz
PRICE 150000/=
simu ina kaa na chaji kwa muda wa saa 13 kama ukiwa unatumia non stop kwa masaa hayo
SIMU ILINUNULIWA...
Wadada hii ni yenu biashara biashara tunauza pochi nzuri sana za culture kwabei nafuu .
Tunapatikana arusha
Pochi kubwa elfu 30000
Ndogo za saizi elfu 15000
Ndogo kabisa elfu 10000
Pia tunauza...
Wadau nauza compressor hiyo niliinunua kwa ajili ya kufunga kwenye mashine yangu bahati mbaya imekuwa ndogo haina nguvu ya kusukuma machine, ninaiuza ili nami niongezee ninunue compressor ya dungu...
Wengi wetu tunaogopa mtandao. Chochote kinachohusishwa na mtandao tunakidharau.
Lakini kwenye dunia ya sasa, lazima tukubari kutumia mtandao, kama vile wenzetu wa nchi zingine.
Matajiri wengi wa...
Wakuu Kwema?
Bluetooth Ear pods za Kisasa zinauzwa,
Zinaunganisha Mpaka umbali wa mita 8
Zinasikika vizuri sana,
Unaweza kusikilizia mziki au kuongelea na Simu,
Zinakuja na Charger Pamoja na...
Kwa Ujenzi wa Nyumba
Ujenzi wa Godown
Ujenzi wa Maghorofa
Kwa Kutumia
1.Tofali za Aina Mbalimbali Kuanzia Chipping na Kawaida
Kwa Ujenzi wa Nyumba Kuanzia Tzs Million 25
Unakaribishwa Kwa...
Apartment Inapangishwa Ipo KIGAMBONI Mji Mwema Karibu na Nyumbani Kwa Aboud Jumbe
Nyumba ipo Mita 40 Kutoka Barabara Kuu na Inapakana na Bahari ya Hindi Kwa Mita 70
Nyumba ina Vyumba Vitano...
Kwa Ujenzi wa Nyumba
Ujenzi wa Godown
Ujenzi wa Maghorofa
Kwa Kutumia
1.Tofali za Aina Mbalimbali Kuanzia Chipping na Kawaida
Kwa Ujenzi wa Nyumba Kuanzia Tzs Million 25
Unakaribishwa Kwa...
Moja Kati ya Apartment 10 za Nyumba za Mteja Wetu wa MBWENI ikiwepo Kwenye Hatua za Finishing.
Nyumba ina Vyumba Viwili(2) vya Kulala
Chumba Kimoja ni Self
Ndani ya Hii Nyumba Kuna:-
Dinning...
Wakuu habari, nilikua nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Africana, vigezo: i) iwe self contained yani chumba kimoja na choo ndani kwa ndani ii) pasiwe na msongamano wa nyumba nyingi
Gharama za...
kiwanja hiki ni kizuri kwa kujenga nyumba ya kuishi au ya kupanga maana ni KM 1 kutoka barabarani na panafikika kirahisi wakati wote
ukichimba maji yapo karibu
miundombinu ya umeme ipo jirani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.