Salaaam wakuu ,nauza majogoo makubwa ,mazito Yana chanjo zote na yanafaa kwa kula au mbegu ..
Yapo ya kutosha
Location: kiluvya gogoni km 1 toka morogoro road.
Contact:0755404226
Kama kichwa cha habari kilivyojielekeza kwa wale wanaouza Mkaa bei ya jumla na wale wenye kutengeneza Mkaa Mbadala nahitaji nataka kuanzisha biashara ya Mkaa kwa reja reja mtaani kwangu nipo dar...
Wadau, inahitaji gari ya kukodi siku ya jmosi tarehe 31/8/2019.
Sifa za Gari.
- Iwe na uwezo wa kubeba kuanzia watu 8
- Iwe katika hali nzuri
- Ikiwa Nissan Elgrand, Toyota Alphard au Nissan...
Habari zenu wadau. Natoa huduma ya kutafsiri vitabu, majarida na vingine vya aina hizo, kutoka lugha ya kingereza kwenda kiswahili. Kwa wenye kazi za aina hiyo karibu tuzungumze. Gharama ni nafuu...
Kama wewe ni mfanyabiashara dar au mkoani xoxa wear ni kijana mwanachuo ambae anakurahisishia kazi wewe mfanyabiashara kwani anapokea oda za nguo na viatu vyakiume na kike kwa wanaohitaji nguo za...
Ni original Kabisa na inanyoa vizuri sana,inafaa kwa matumizi ya salon na hata nyumban
imetumika muda mchache sana na haina tatizo lolote Bei ya kutupa 50,000/=
inauzwa kwasababu haitumiki bado...
Tehama Mtatuzi inakuletea mfumo wa usimamizi wa mahesabu yaani Inventory Management System utakaokusaidia kwenye duka lako au store yako kufanya vitu vifuatavyo
1. Kurekodi bidhaa zote zilizo...
Habari za humu ndani, viwanja vinauzwa vipo singida manispaa. Viwanja hivi vimepimwa bei ni kuanzia shilingi million 2 mpaka million 4 kulingana na ukubwa wa kiwanja. M² ni shilling 5,000 kwa...
Mwenye gari ndogo ambae hawazi kuiazimisha wiki au mwezi mzima kibiashara kwa brand nilizotaja hapo juu, fanya unicheki inbox.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu!
Husika na kichwa cha habari hapo juu,kama unaihitaji watu waje kwenye semina yako,mkutano,kanisani,makambi n.k,usipate shida,unachotakiwa nikuwasaliana na mmi,uniambie unahitaji...
Habari za Jumapili hii ndugu zangu. Kiafya mimi niko vyema kabisa, wacha niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimekuwa nikifanya uchunguzi juu ya biashara ya ufyatuaji tofali nikaona soko kubwa lipo...
Wakuu salama umu ndani,Mimi nauza Kuku wa kienyeji kuanzia 15,000,pamoja na mayai ya kienyeji trei 14,000 nipo arusha kijenge kwa mawasiliano 0784320071 utanipata tutaongea zaidi.
WADAU. ANAYEFAHAMU MUUZAJI WA SHAMBA/PLOT KUANZIA EKARI 5 HADI 10 (au 20) MAENEO YA BAGAMOYO (KATI YA DAR NA BAGAMOYO) AU UMBALI MFUPI BAADA YA BAGAMOYO MJINI ANIJULISHE INBOX.
PREFERRED:
Eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.