Hp elitepad 900
Laptop ya kisasa yenye uwezo wa kuwa tablet
Inakaa na charge mpaka masaa 7
Win 8.1
Ram 2gb
Ssd 64gb
Bei 300,000/=
Karibu 0764118083
Nipo dsm
Karibu mteja kwetu ni zaidi ya Mfalme, nipo Arusha lakini nafanya kazi popote ulipo nakufikia sina makuu kwa mahitaji yote ya domestic wiring na industry wiring bila kusahau vifaa vinavyotumia...
Unga wa LISHE Wenye MCHANGANYIKO wa :
MAHINDI
SOYA
ULEZI
KARANGA
NGANO
MCHELE.
Ni kwa ajili ya watu wote, watoto Kuanzia miezi sita.
Tupo kinondoni Dar es salaam.
0676868660/0713441511...
Unga wa lishe wenye mchanganyiko wa:
1.Mahindi
2.Soya
3.Ulezi
4.Karanga
5.Ngano
6 Mchele
Ni kwa ajili ya watu wote, watoto Kuanzia miezi sita.
Tupo kinondoni Dar es salaam.
0676868660/0713441511...
Un interupted Power Supply (UPS) au powe nack up Ni mfumo ambao unasaidia upatikanaji wa umeme hata baada ya umeme wa Tanesco kukatika.
Mfumo huu unaweza kutumia vyanzo mbadala vya nishati kama...
begi la safari la Hello kitty pink ni 45
safari la blue ni 45
hilo pink dogo lenyd mdoli 12
lenye katai 15, hello kitty black pink 12
viatu pure lether elfu 22 vitu vyote ni mtumba vipo nyegez...
Habari...Nauza TV ya SAMSUNG mpya kabisa ikiwa na box na vifaa vyake vyote...Ni kubwa inch 42 kama unavoziona picha kwa being chee kabisa LAKI SABA TU.
CALL/WHATSAP 0764468469 DAR ES SALAAM
Habari zebu
Niko kwenye mchakato wa kuanzisha biashara ya Financial Consultancy. Nahitaji kujitangaza na nimefikiria njia sahihi ni kwa kutumia teknolijia ya habari.
Naomba Kama kuna mtaalam...
Nipo Dar, Nataka kufanya biashara ya kuuza kuni kwa bei ya reja reja, nilikuwa Nahitaji wanaofanya biashara hii kwa jumla, ili niweze kununua kwao na pia wanipe changamoto ya biashara hii, walio...
<br />Jmk Royal Services<br />Dealer wa vifaa vya ujenzi,yakiwemo mabati,tiles,wanakuletea<br /><br />Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana)<br /><br />Mabati ya mikunjo(Versatile)<br /><br...
Jmk Royal ServicesDealer wa vifaa vya ujenzi,yakiwemo mabati,tiles,wanakuletea/>
Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana)
<br />Mabati ya mikunjo(Versatile)<br /><br />Mabati migongo...
Bati la VERSATILE/ROMA/KIGAE/MIKUNJO
Bati la VERSATILE/MIKUNJO yapo katika aina tofauti na mikunjo tofauti inategemea na machine kiwanda walichofunga,uzalishaji wake huwa slow kidogo kulinganisha...
Habari za leo wanajamvi
Mimi ni kijana ambaye ni mjasiriamali. Najishughulisha na uuzaji wa vyakula na vinywaji kama juisi na maziwa. Friji yangu imekufa na biashara ya vyakula bila vinywaji ni...
City kuku ni wauzaji na wasambazaji wa kuku wa kienyeji, kuku wa kisasa(broiler),mayai ya kienyeji ya kisasa, mafuta ya alzeti, asali mbichi, mtindi na samaki.....huduma ya delivery pia ipo lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.