Habari wanajamvi, nauza hard disc aina ya Seagate barracuda yenye 2TB (2000gb)...Bei ni 150000/=...kwa mawasiliano zaidi piga namba 0753858259 au 0684420141
Habari Mwaka Huu Mwanzoni nilinunua Madini ya Silicon kwaajili ya Kusafirisha kwenda kuyauza nje ila nimekwama kutokana na Matatizo ya Kifamilia Pesa zote nilizokuwa nimepanga nitanunulia silicon...
Habari ya Majukumu wana jukwaa?
Baada ya kupokea maoni kutoka kwa wadau wetu na wateja wetu mbali mbali, hatimae tumeamua kukubaliana na ombi la kuwekeza pesa kidogo kidogo kwa kati ya miezi 3-...
Aseee kwemaaa heee kama yupo mwenye anavutiwa kuimba aje tufanye promotion apaeee kwa kiki,
awe wakiume awe wakike aje tuone...hit up my dm asap for music arguments natafuta kina burna boy au...
Kwa kuanza nina mtaji wa 15M. Huku kwetu hakuna mikate Kwa anaejua Machine za Ku tengenezea mpaka kufungia na ziwe kibiashara zaidi anijuze ukubwa na bei tafadhari
Wakuu Habari za leo, naingia kwenye mada kama inavojieleza naomba kujua kupitia kwenu nipo dar ni wapi nitapata duka linalouza simu zilizotumika kutoka ulaya au Africa kusini ama popote dunia...
Mwenye baiskeli yenye hali nzuri naomba anichek tufanye biashara.
Ninahitaji ili niiwekee carrier kubwa kwa ajili ya kubebea vimmizigo vidogo vidogo ofsini kwangu.
Hii ni kwa waliopo dar tu...
Laptop ipo kwenye hali nzuri ina 320gb hdd 3gb ram kioo 15.6 inchi
Proc. 2.3ghz
DVD RW
Charge 1hr ipo na adapter yake og
BEI 200000 Mwisho kabisa 170000.
0657427793 Serious Buyers Only
Hp elitepad 900
Laptop ya kisasa yenye uwezo wa kuwa tablet
Inakaa na charge mpaka masaa 7
Win 8.1
Ram 2gb
Ssd 64gb
Bei 300,000/=
Karibu 0764118083
Nipo dsm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.