electric motor generators
ni teknolojia ambayo umeme uwezi kukatika wala kuisha labda uzime wewe tu.
teknolojia hii ni mapinduzi makubwa ambayo mbadala wa mafuta,jua,maji,na nguvu za kiatomiki ili...
Habari wakuu,
Nauza Samsung Galaxy s2 au niko tayar kubadilishana na Tecno K7 au Spark3,, sababu ya kuuza au kutaka kubadilishana mm nafanya kazi ya Uber so hii simu imekataa uber driver App.
Bei...
TUNAFUNGA MFUMO WA UMWAGILIAJI MAJI (DRIP IRRIGATION ), KUANZIA NUSU HEKA NA KUENDELEA, EPUKA KUKAUKIWA KWA MIMEA SHAMBANI KWA UKOSEFU WA MAJI YA UHAKIKA, NA KULIMA KWA KUTEGEMEA MVUA PEKEE...
IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS kupitia Ipilimo Tuagize Magari....tumetimiza mwaka mmoja sasa tangu tuanze biashara ya IMPORT AGENCY SERVICES.
Tumeweza kushirikiana vema na SBT JAPAN Kuwaagizia Wateja...
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima
Natafuta mtu mwenye uzoefu na maswala ya kununua vitu online
Nataka kuagiza laptop kutoka Amazon
Kama upo tayari njoo pm tuongee biashara.
Habari zebu
Niko kwenye mchakato wa kuanzisha biashara ya Financial Consultancy. Nahitaji kujitangaza na nimefikiria njia sahihi ni kwa kutumia teknolijia ya habari.
Naomba Kama kuna mtaalam...
laptop ya blue ni ya mtoto kuanzia class one hadi seven anaweza tumia bei 75 elfu
laptop ya pink ni ya watoto wanaoanza kujifunza kusoma bei elfu 60
game ya tatu ni ya watoto wanaojianda kwenda...
Kwa mwenye hayo magari anaweza share nami picha hapa ama dm,Gari liwe katika hali nzuri na bei nzuri ,iswir number A. .Engine isiwie inavuja popote.
Waiting for a seriuous seller.
Karibu.
Hii si ya kukosa kabsa kitanda na godoro lake vinauzwa bei sawa na bure. Godoro ni Tanfom nchi 10 na kitanda chake cha chuma..vyote ni vipya.
Location ni nzega Tabora..
Pia kama utahitaji na...
TUNAUZA TOFALI KUBWA ZA KUCHOMA, ZENYE MUONEKANO WA KUVUTIA NA IMARA SANA KWA BEI NZURI YA TSHS 1'000/= KWA KILA PCS MOJA, ZINA UBORA, WA HALI YA JUU NA ZENYE KUVUTIA KWANI ZINAWEZA KUTUMIKA PIA...
Habarini ndugu zanguni, kuna eneo linauzwa wilayan Sengerema mkoani Mwanza, lina ukubwa wa ekari 3, eneo lipo kando kando ya ziwa, ni Mita 150 kutoka ziwani, eneo Lina maji mengi Sana , hvyo Kwa...
kwa mahitaji ya kuku wa kienyeji wenye afya nzuru kwa ajiri ya nyama au kufuga wanapatikana kwa bei nafuu kuanzia 10000 hadi 15000.
Tupo shinyanga mjini.
Wateja wa shy town tunawaletea popote...
Ndugu wana JF nimeamua kuja kwenu Mimi ni kijana mkulima wa nyanya pamoja na mboga za Majani kwa sasa nimeivisha nyanya kama ekari moja na nyanya yangu ni VIP maana inamatunzo mazuri saana kama...
Wale wanaohitaji kuku wakienyeji wakufuga
Kuku Ni wenyewe wakienyeji kabisa kutoka vijijini piga namba 0692669235 niweze kukuuzia kuku wakufuga majogoo kwa matetea karibuni sana
Bei inaanzia...
Habari wadau Kutokana na majukumu nilionayo kwa kipindi iki nimeamua kuiweka sokoni simu yangu ya iphone 6s plus 64 gb grey in colour kwa bei ya 480000/= Fixed Amount.... Battery Life 73%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.