Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Tunauza samaki Sato rejareja Tsh 10000/= kwa kilo jumla 9500/= Sangara 7000/= kuku wa kienyeji 20,000/= Tunapatikana kijitonyama karibu na kijitonyama Filling station Karibuni
0 Reactions
0 Replies
4K Views
vipi hali wana jukwaa ni imani yangu munaendelea vyema na harakatu zenu za kila siku. ninauza smartwatch kwa bei ya shilingi 55,000 tu ya kitanzania. kupitia smartwatch hizi utakua na uwezo wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salamu wakuu. Natafuta eneo zuri la kufungua biashara ya kuosha magari. Hata kama kuna mtu anapangisha naomba tuwasiliane. Mimi nipo Dar na biashara hiyo nataka kuifungulia hapa hapa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Laptop ipo kwenye hali nzuri ina 320gb hdd 3gb ram kioo 15.6 inchi Proc. 2.3ghz DVD RW Charge 1hr BEI 200000 Mwisho kabisa 170000. 0657427793 Serious Buyers Only
0 Reactions
1 Replies
544 Views
Kama unauza covers za huawei y6 2018 ni pm
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Bajaj Toleo la kampun ya Sinoray Full registered ( Reg date: 20 July 2019) Imekatiwa Bima ya mwaka mzima ( July 2019 to July 2020) Used, kwa maana ya kwamba iko barabarani kwa week 3 toka...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Used RAM 4 gb DDR3 zipo 4 Kila moja kwa Tsh 50,000/=. Location: Dar es salaam WhatsApp 0714 949889 Telegram 0714 949889
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Ninatafuta kiwanja cha makazi maeneo ya mbeya mjini cha bei nzuri eneo la KALOBE, ITENDE, IYUNGA, NZOVWE, NA MAENEO YA KARIBU CHA KUANZIA MILIONI 2 HADI 2.5
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakati wengi wakiwa na mategemeo ya Azam kuonesha EPL siku zijazo hawa jamaa wa DSTV wanazidi kukaba kila angle, sasa hivi wamechukua Champioship football, hili ni daraja la chini ya EPL. Mshindi...
12 Reactions
63 Replies
6K Views
Hormone hii inahusika na mambo yafuatayokuufanya uume uwe imara.kucontrol kukojoa wakat wa tendo i mean mshindo.kucontrol kusimamisha uume kwa haraka na kwa mda mrefu, kuamsha sponge never kwenye...
0 Reactions
32 Replies
13K Views
Nahitaji Boxer Bm 150 ,Offer yangu ni milioni moja.Iwe na plate number ya njano.
0 Reactions
0 Replies
526 Views
Habari wadau!nahitaji kiwanja maeneo ya madale, Goba,matosa tegeta A,bunju msakuzi kisizidi 10m.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana,mie ni kijana mwenye taaluma ya umeme wa majumbani,nafanya wiring,na pi kurekebisha hitilafu kwenye nyumba,na pia natoa ushauri kuhusu maswala ya kiumeme.kwa mawasiliano...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mara nyingine @weaccesorieshousetz tunakulete smart watch nzuri sana na zenye kukutimizia mahitaji yako hasa wale watu wako busy basi suluhisho limepatikana Specifications zake Unaweka line ya...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naitaji vitz R's namba D nzuri lazima iwe imetengenezwa kuanzia 2003 Kuendelea,, gari nzima hasa budget yangu milioni 6 kama unayo nicheki kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mtambo huu unatumika maeneo yalio kosa huduma ya umeme mtambo huu wa mashine ya kunyolea na kichajisha simu unahamishika *Mtambo huu unauwezo wa kunyoa watu 10-12 kwa ukubwa huu, *Ukikosa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nauza simu ya samsung Galaxy S6 Edge Plus 350k simu haina tatizo nahitaji fedha ya haraka 0719090094
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Brand- Cummins Power generator Capacity-38kva Price- mil 17.5 also negotiation allowed Location-Kigamboni Mikadi Kwa anayehitaji ani Pm tufanye biashara.
0 Reactions
2 Replies
565 Views
Lengo ni wewe upate kiwanja pengine mwisho wa mwaka huu uwe umeanza kujenga kiwanja hiki ni kizuri kwa kujenga nyumba ya kuishi au ya kupanga maana ni karibu na na panafikika kirahisi wakati...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Nikiri kuwa sijatembelea shopping center nyingi ila kuna vigezo ambavyo nimevizingatia hadi kuja na tamko hili kuwa Kibo Complex ndiyo shopping center bora zaidi Dar es Salaam. 1. Utulivu - Ni...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom