Habarini.
Natafuta fundi atakaenifanyia finishing ya nyumba yangu. Tayari imeshaezekwa kila kitu.
Lakini nataka finishing ya nguvu kitu kionekane classic
Masharti yangu: Atanipeleka kwenye...
Nauza digital camera aina ya Sony Tsh 100,000/- ina 3pixels na memory card 4GB. İpo katika hali nzuri. 0625610791 nipo pugu.
Picha nione whatsApp humu inasumbua kuattach
New Updates:15:01:2018-------------------------
Eneo la 400 square meters linauzwa maeneo ya Mwananyamala hospital,KINONDONI,BLOCK 24A,PLOT NO:13.
Bei ni 250,000,000/= eneo ni zuri sana na lina...
MAKE ; Toyota
MODEL ; Raum
COLOUR ; White
TRANSMITTION ; Automatic
Cc ; 1490
PRICE ; 4m cash(fixed)
lita 1 ya mafuta inatembea 15km
NB : My own car and not a broker
-Gari iko Dodoma
-Gari...
Habari kampuni ya JERIMY ALUMINIUM inayousika na usambazaji na uuzaji wa chuma za aluminium aina zote pia kutengeneza milango madirisha ya aluminium aina zote inapenda kukutangazia kwako wewe...
Habari wapendwa
Jina langu ni jerry pia ni dalali wa nyumba,vyumba,frem,viwanja na hata mashamba kwa ajili ya kuuza na kupanga kwa maeneo yote ya dar es salaam,
Je unahitaji nyumba ya kupanga...
Kwa mahitaji yako ya haraka ya panya waliokomaa weupe na weusi wasiliana nasi. Panya dume mpevu anapatikana kwa bei nafuu ya shilingi elfu tisa mia sita na thelathini tu (dola 4.29)
Zaidi ya...
Imejengwa kwa plan ya kupangisha, ndani ya geti moja lakini kila moja ni chumba kimoja, sebule, jiko na choo chake (self contained).
Maji ya dawasco na umeme umeunganishwa.
Bei ni milioni 29...
Habari za muda huu wakubwa. Naomba mwenye kufahamu wasafirishaji wazuri wa mizigo tajwa hapo juu kutoka Dar kwenda Dodoma .
Ikiwezekana nikipata na mawasiliano yao ama sehemu wanakopatikana hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.