Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Ninauza asali nzuri kabisa kutoka Tanzania na haigandi hata kipindi Cha baridi kwa mawasiliano zaidi +255763469684.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi sina nnachojua kuhusu hii Biashara, kuna jamaa yangu anataka kununua Asali ya kutosha kwa ajiri ya biashara... Anataka Picha ya Asali yako ili aone rangi yake na uzito au wepesi wake...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Dell Inspiron Hard disk 500 GB RAM 2 GB Processor 1.4 MHz dual core Bei ni Laki 3
0 Reactions
7 Replies
863 Views
Nauza PS3 CDs 15 (kumi na tano/fiteen) at a give away Price of Tsh.170,000/= CALL 0738251918 or PM ALL List of CDs pictured below
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natengeneza QR Code kwaajili ya kuitumia kwenye biashara yako au business card yako kwa bei nafuu kabisa ya offer sawa na bure! Faida ya QR Code kwa mfanyabiashara au mjasiriamali ni kwamba...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
sofa inauzwa used bei ni 250000 ipo katika hali nzuri mweny kuhitaji anicheki kwa 0620512112 lipo dar Maeneo wazo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Iko Mbeya, kyela, km 12 kuto kyela mjini kipo pembeni na beach ya mwamyange umeme upo, Kuna msingi wa mawe,kina ukubwa wa eka moja na zaidi kidogo(77x75) Price: 55 mil negotiable
0 Reactions
1 Replies
960 Views
Kwa vifuniko vya cotton na lace vinapatikana kwa rahel moving shop. Tunauza kwa bei ya jumla na rejareja Mikoani tunatuma na kwa wakazi wa dar tunakuletea ulipo. Cal/watap :+255 767-562153 +255...
0 Reactions
101 Replies
25K Views
Wakuu natafuta shamba la kununua lenye ukubwa usiopungua hekari 30, kwa ajili ya project yangu ya kilimo mwaka ujao ninayotegemea kuifanya nje kidogo ya jiji la Dar es Salam, shamba hilo naomba...
1 Reactions
136 Replies
27K Views
Nyumba ambayo haijamalizika inauzwa iko maeneo ya tabata segerea maeneo ya sanene mtaa wa ugombolwa ina sifa zifuatazo. Ina vyumba vya kulala 5 na chumba cha kusomea watoto,masterbedroom, public...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza kuku wa kienyeji kutoka singida, kuku ni walaini maji mara moja tu kwa ladha murua kabisa Ukitaka aliyenyonyolewa kabisa pia utapata akiwa freshi bila kukaa kwenye jokofu, pia utapata...
1 Reactions
117 Replies
18K Views
Nna kijana wangu ambae anatarajia kujiunga na Darasa la kwanza hivi karibuni hivyo natafuta shule ambayo pamoja na masomo ya kawaida pia wanafundisha muziki pamoja na michezo ya kujihami kama...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wakuu nauza mashine za juice ya miwa. Zipo za aina mbili za umeme (inatumia motor) na Ya mkono. Bei ya umeme Ni million 1 na laki 5 tunazituma ukishanunua.
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Specifications >RAM 8GB >USED for 6 month >Haina tatizo lolote Price 150000/= Risiti unapewa pia
0 Reactions
3 Replies
454 Views
Kama tangazo langu linavyozungumza Mahali nilipo dar es salaam Njoo na picha na offer
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza huawei P 8 almost new 350000 0762165498
0 Reactions
0 Replies
519 Views
Ushauri wa Kitaalamu, au kwa Kiingereza " Consultancy" hutafsirika kama kitendo cha utoaji wa ujuzi (knowledge) kutoka kwa Mshauri (Consultant) kwenda kwa Mteja (Client) kwa lengo la kuimarisha...
6 Reactions
8 Replies
1K Views
Uwajibikaji kwa Jamii ama "Corporate Social Responsibility" ni kitendo cha kampuni kuwajibika (morally responsible) katika masuala yanayohusu jamii, hususani mahala ambapo hiyo kampuni huendesha...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari Naomba kujuzwa ni basi gani huwa la kwanza kuingia Mwanza linapokua limetoka Dar saa 12 asubuhi. Asante
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Usimamizi wa Mradi (Project Management) hufanyika kwa lengo la kuhakikisha kwamba mradi unatekelezeka kwa namna ulivyokusudiwa (as designed) ili kuweza kufikia malengo mahsusi yake (specific...
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom