Nyumba ina:
1. Vyumba 3
2. Sebule
3. Nyumba mkonze ndani ya jiji la dodoma
4. Nyumba imekamilika ila inahitaji finishing kidogo
4. Bei milioni 20 (maongezi yanakaribishwa)
5. Nyumba haina...
Habari wanaJF nina plot za viwanja eneo la kidimu. 20×20 hatua ni milion 5. Eneo lina maji na umeme. Plot zipo 4.
kwa mawasiliano ni.....
0685113740
0768905700
Eneo ni la familia hakuna udalali...
Habari wakuu nina mradi kidogo au fursa kwa wale walio serious natengeneza eggs incubator full automatic kwa bei poa sana pia nafundisha kwa wale watakaohitaji sipo dsm sasa kwa walio dsm itabidi...
Habari wana JF kama mmestukia miaka ya hivi karibuni wino za printa na photocopy machines sio pasua kichwa tena yatakiwa tu kuji-position ili kila mtu ajue nafasi yake wewe ni mkono wa ngapi...
Kama una biashara au unatoa huduma fulani inaweza kuwa unatoa mikopo, una taasisi ya elimu au una biashara yoyote na unataka kuiboresha kuwa ya kipekee na kukuza soko la huduma au biashara yako...
Namtafuta mmiliki wa gari tajwa hapo juu tufanyebiashara.
Dalali kanitumia picha ya gari ila ananiambia nimtumie hela kidogo kwanza (sijui ya nini). Nahitaji kununua hili gari kama kweli lipo...
Habari
Kiwanja KINAUZWA Kipo KIMARA MWISHO Upande wa Barabara ya Morogoro Road,Ukitoka Posta
Kiwanja Kina Ukubwa wa Square Meter 19,200
Kimezungukwa na Nyumba za Makazi
Kiwanja Kina Nyumba...
Kiwanja inauzwa, kipo Goba Tegeta A.
Kiwanja hakijapimwa. Tayari kuna makazi ya watu.
Kipo mita kama 600 kutoka barabara ya lami ya Goba - Mbezi.
Ukubwa wa kiwanja: 20m x 22m
Bei: Milioni 15...
hello!kiwanja kinauzwa mbezi ya Kimara,kituo temboni kabla ya kufika mbezi mwisho upande wa kushoto ukiwa unatokea ubungo,km 4 from Moro goro road,ni nusu heka na bei!milion 16 hakina hati ila...
Habari wakuu,
-Kiwanja kipo kimara kwa komba.
-Kimepimwa ila bado kukabidhiwa hati.
-kipo sehemu ya tambalale
-Mita 20 kwa 25
-Bei Milion 12
-Maelewano yapo
-0712595636
Habari wakuu, nauza eneo langu hapo Goba Kinzudi Magorofani lenye size ya 47x30m, limepimwa na lina mawe( Beacons), ni accesible na mwendo wa 2-3 min hadi njia kuu ya Goba, maongezi yapo. Hilo...
kiwanja kinauzwa mbweni Plot number 179 block 4 Mbweni mpiji kiwanja kipo karibu na soko yaani mbele ya soko na pia kipo karibuni na shule ya msingi na viwanja vya michezo, ni sehemu nzuli sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.