NAUZA GARI YANGU MWENYEWE
MAKE ; Toyota
MODEL ; Raum
COLOUR ; White
TRANSMITTION ; Automatic
Cc ; 1490
PRICE ; 3.9m cash(fixed)
lita 1 ya mafuta inatembea 15km
NB : My own car and not a...
Inauzwa ina kila kitu chake box, charger na earphome
Used three weeks
No dent as clean as new
Bei 230000
32gb ram 2gb waterdrop notc
Napatikana Tegeta Wazo: Call 0688496566
SITE INAUZWA
MAHALI: MSIGANI-MADALE, DAR ES SALAAM
KM 6 KUTOKA TEGETA KIBAONI
BEI 26M
Contact 0767175518
KUNA FRAME TATU ZA BIASHARA
PIA
SITE INA
vyumba vitatu viwili ni self contained
ukubwa...
Kama kuna mtu anauza gunia za katani mwanza tafadhali naomba ani pm
Zile za kuweka kahawa siyo yale yenye mistari miwili nataka yale plain mapya na yasiwe jute
Stunner Marangi ni music producer toka Dodoma Tanzania anae tengeneza muziki aina ya Electronic Dance Music. Jifunze siri juu ya uwezo wake na tips za production bure yani free of charge. Mtafute...
Kwa wale wapenzi wa gaming na watu wanaofanya video editing,graphic desighn, wanaochora ramani za nyumba(artchtec).nabuild gaming/graphic pc kwa gharama nafuu kulinganisha na gharama ya ps4...
*Nyumba zinapangishwa mwenge maeneo ya mliman city.*
Ni dakika 5 tu kutokea Mliman City.
1. Nyumba yenye vyumba viwili choo sittng room pamoja na jiko lake bei yake tsh 300,000/= kwa mwezi...
Za humu?Nahitaji shamba lenye sifa zifuatazo;Maji ya uhakika,udongo usiwe kichanga,linafikika.Eneo lolote la Dar itapendeza.Lengo ni kulima. Ushauri,maoni na mawazo nitapokea.
Habari wajumbe,
Nina Screen zangu mbili, Digihome (Inch 42- black) mtumba na SON Bravia (Inch 28, Cream colour), TV hizi ni mbovu hii DigiHome ilizima tuu mwaka jana, na hii SON Bravia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.