Inaweza kuwa nyumba ya kuishi ama office, moja ina room 3, public toilet,sebule, kitchen ingine room moja na sebule, uzio, geti,usalama/mlinzi, maji, umeme, eneo la kucheza watoto nk#eneo...
iPhone 6 imo na 64gb storage ram 3gb Hainan iCloud kuna unaweka yako unapatiwa chaji na earphones iko na hali nzuri still new delivery arusha moshi mwanza dar na shinyanga mawasiliano 0787323047...
wanajamvi natengeneza majiko ya gesi ya majumbani , migahawani na mahotelini , majiko ya kukaangia chipsi, majiko ya mashuleni au sehemu zenye population kubwa
vilevile nafunga system ya gesi...
Kwa yeyote anaetafuta mihogo mihogo kwa akili ya Biashara. Nauza na kukuletea mpka Tandika kwa tsh 75000/= kusafirisha juu yako ambayo ni tsh 7000/= kiasi ni kiroba cha kilo 100 mzigo unakuwa...
Rafiki yangu mpendwa,
Tangu tunazaliwa mpaka tunakuwa watu wazima, kuna vitu vingi sana ambavyo tunafundishwa kwenye familia, kwenye jamii, shuleni na hata kwenye kazi au biashara.
Tunafundishwa...
We are specialised on variety of fire extinguisher check & service starting from 5,000 to 10,000.
Your welcome
Located at Mbezi tanki bovu kwa komba
0712569530
Sent using Jamii Forums mobile app
Naiuza ikiwa na accessories zake zote, usb, cable charger, earphone, silicon case.
Bado mpya na warrant ya mwaka 1.
Bei 1.2M, haipungui.
Niliagiza US, apple store.
Nashimdwa kuweka picha...
Kuna wazo la kibiashara nalifanyia kazi ila mtaji umebana sana. Najaribu kubuni mbinu ninazoweza kutumia ili nianze tu na chochote nilichonacho huku nikiboresha kwa jinsi ninavyosogea.
Ningependa...
Kwa karne hii, ili kukimbizana na Teknolojia, Hakuna asiyefahamu umuhimu wa kutangaza biashara au shughuli zake ili kufikia mamia kwa urahisi wa kuchanganua shughuli hizo kupitia matangazo ya...
Wale wajasiliamali wa kuku incubator inauzwa Tsh 1700000(milioni moja na laki Saba),Inatumia solar power na Gesi itakupunguzia stress za umeme wa Tanesco.Bei hiyo ni pamoja na Kioo watt...
Waungana kuna nguo ambazo zinauzwa madukani mtumba, lakini zipo katika ubora wa juu kabisaaa. Jee mtapenda kununua hizo nguo? Ili kufanyike mpamgo wa kuagiziwa kutoka USA.
Nitaweka mfano wa hizo...
Incubator inayotumia Solar na gesi inauzwa ina uwezo wa kutotolesha mayai 352.Imetumika miezi miwili tu.Bei ni milioni moja na laki Saba(1700000/=)tu utapewa na kioo cha solar watt 190 na betri...
Waungana kuna nguo ambazo zinauzwa madukani mtumba, lakini zipo katika ubora wa juu kabisaaa. Jee mtapenda kununua hizo nguo? Ili kufanyike mpamgo wa kuagiziwa kutoka USA.
Nitaweka mfano wa hizo...
Ndugu.wasalaam..
Mimi ni kjana ambae natafuta maisha kupitia kilimo.
Ndugu wana JamiiForums nmekuja hapa kwenye hii forum kuulizia mwenye information ya kupata mashamba huko Rufiji na wanauzaje...
Nauza kabati hio hapo kwenye picha, ina urefu wa futi 6, upana futi 3 na kimo futi 3, ina partition mbili katikati kwa Sh.200,000 tu,Partition zote zimevunjika ukitaka nikuwekee utaongeza pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.