Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kwa yeyote au mfanyabiashara aliyefanikiwa je ni vitabu vipi vya kupata ufahamu au uelewa kuhusu biashara iwe ya kuuza product(bidhaa) au kutoa service (huduma) kwa customers (wateja), au kua...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za mchana Wakuu. Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu, nyumba nzuri inauzwa Sengerema - Mwanza na bei imeshuka mpaka 29mil. Eneo lina ukubwa 450sqm. Nyumba imezungushiwa fensi na kuna...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾🌾 Usipate tabu ya kuchambua mchele uliojaa chuya, mawe kama yote Tunakupa Mchele ulionyoookaa Hauna mchanga Hauna chuya Kwa ajili ya pishi lako hotelini kwako, kwenye shughuli...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
0743153849 OFISI NO: 022 212 7275 JE WAJUA SASA MABATI YA KUDUMU YAKO HUKU UNAWEZA JIPATIA MABATI KWA BEI NZURI KWA MABATI YAKUDUM ZAID YA MIAKA 30 BEI ZETU NI KAMA ZIFUATAZO. G32-18,000/-MABATI...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za jioni Mabibi Na Mabwana Nauza simu SAMSUNG GALAXY s8+ Simu ipo kwenye khali nzuri tu japo kioo kimepasuka kidogo upande wa chini Nipo mwanza +255768683021 "Enough of No Love"
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Itel S 31 inauzwa bei 150,000 mazungumzo yapo camera safi Frash,memory card kila kitu kizima karibuni PM
1 Reactions
2 Replies
699 Views
RAM 2GB Processor (intel) DUO CPU 1.40GHZ HDD 100GB WINDOW 7 installed MODEL : eliteBook 2530p Bei: 180,000 DVD WRITER Battery TIME up to 4HRS IMESHAUZWA
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Ninashida ya haraka na bidhaa tajwa hapo juu,ujazo wowote ila iwe Tank mbili..mwenye nayo tufanye biashara pesa mfuko wa shati. #zingatia bei iwe nyasi.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
From South africa
0 Reactions
2 Replies
769 Views
Habari wakuu Nahitaji fridge ndogo used iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo anicheki PM tuzungumze. Niko songea .
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mm ni designer wa nguo mbalimbali Nauza nguo zilizodariziwa na nguo za mishono mbalimbali plus size pia sijawasahau Mwenye uhitaji wa nguo wadada kwa wakaka Usisite kuni pm nitakujibu Nguo ni...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
KIPO VIZURI SANA KIPO BOKO BUNJU 0620427098
0 Reactions
3 Replies
4K Views
haina tatizo lolote lile. 150k
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna hivi vifungashio vya plastic vinaangaza wanavitumia hata hawa wanaouza miwa mimi nahitaji kwa anaeuza anicheki au kama kuna chimbo wanauza naomba kufahamishwa nipajue
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamii forum,,Napenda kuwafahamisha wafanyabiashara wa maduka na wale wajasiliamali wenzangu kuwa Nina uza na kukuletea popote ulipo (site delivery)vifungashio vilivyogenezwa kwa ubora...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
bei ni fixed kina support dish au antenna kina port ya hdmi na usb location boko bunju 0620427098
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nyumba ni nzuri na ya kisasa, kila kitu kipo kinachofanya iitwe ya kisasa, uzio mkubwa na amani kwa sana, vyumba vitatu vya kulala kimoja master, jiko kubwa lenye makabati, dining, sebule kubwa...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Habari wana JF, ni matumaini Mungu ametukirimu uzima, sote tumshukuru, napenda kuwajulisha ndugu, rafiki na watanzania wenzangu kwa ujumla juu ya mkutano mkubwa unaorushwa kwa njia ya satellite...
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Mitihani Online tunakuletea huduma ya masomo, mazoezi na mitihani online kwa mwanao aliye darasa la nne, tano, sita na saba mlangoni kwako!!. Huna haja ya kusafiri kwenda mbali, pata huduma bora...
0 Reactions
3 Replies
834 Views
32gb of storage White colour Bei 300000
0 Reactions
9 Replies
802 Views
Back
Top Bottom