Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Ni mpya, haijatumika Inatumia gas tu Ina sehemu mbili za kukaangia... Inapatikana Dodoma Bei ni 500K tsh..
1 Reactions
0 Replies
686 Views
Bei Laki moja, ina uwezo wa ku print, scan na copy. Bado mpya
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Samsung J4+ 32 storage Ram 2GB Android 9 Cm ni toleo la 2019 - Ina kimstari pembeni chembamba sana - Haina crack wala michubuko bado mpyaa - Bei 200,000 - mawasiliano 0679 58 58 14 - Kwasasa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wadau Kuna mdogo angu anapangisha nyumba ya vyumba vitatu vya kulala,sebule kubwa,choo cha public na master, dining na jiko.Nyumba inajitegemea iko peke yake iko goba center karibu na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
zipo pia mashine za kushindilia,plate compactor,roller. tunazo compressor,jerk hummer na kadhalika. karibuni ofisi ipo mabibo mwisho 0743812047
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za majukumu wadau! Ninaomba kufahamu Bei ya Alizeti kwa kilo kwa waliopo mkoa wa Singida! Ahsanteni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
make:Toyota IST Registration: DQG insurance: premium/comprehensive to April 2020 Year :2004 Cc: 1290 Kms :30000 Purpose: commercial vehicle Engine :VVTI Clean Seats New Tires Music :Radio/cd...
1 Reactions
60 Replies
11K Views
Habari wadau Nahitaji Njiwa wa Kufuka mimi nipo Mwanza, Sihitaji Njiwa wa Gharama kwani nahitaji wa Kawaida tu, Kama upo mwanza na unauza nichek inbox
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Pamoja na kelele za hapa na pale za wanasiasa Vodacom wanazidi kusonga mbele na sasa wamepunguza gharama za matumizi ya simu na mitandao Hongereni wateja wa Vodacom!
0 Reactions
77 Replies
10K Views
guys nauza gari aina ist mwaka 2004 1290cc gari ni mpyaa haina tatizo lolote haijawahi kuguswa chochote naiuza kwa 9.5m
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Aman kwenu wakuu Kuna kiwanja nakiuza hapa dodoma kipo michese kutoka dodoma mjini kwenda pale naul mia tano tu Kina nyumba kabisa sema bado haijaisha Kiwanja kipo pazur sana karbu na bara...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa wale walioko mkoa wa singida nauza laptop slim jumper ssd card ram 6gb na hhd 64Gb ni bado mpya Tsh Tsh.450,000/= bado ipo naomba unione PM nitakupa namba ya kuwasiliana mie nipo singida mjini...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
  • Closed
Gari inauzwa Noah toyota voxy T 703 DDP gari limetembea kilomita 131152 lipo kwenye hali nzur sana Gari linapatikana mwananyamala manjunju Bei ni shilingi million 6 kamili. Mawasiliano 0719590756
0 Reactions
25 Replies
5K Views
*Sustainable cities company limited (SUCI ) Hii ni kampuni changa na binafsi ambayo imeanzishwa na vijana wa kitanzania ambao wapo katika sekta ya ardhi kwa muda mrefu na wameamua kufanya kazi na...
3 Reactions
62 Replies
6K Views
Apartment inapatikana GOBA, njia panda ya kwenda SALASALA (mtaa wa maghorofani) Ziko apartment 6 kwenye compound Imebaki apartment moja ya chini Ina vyumba vitatu (1self contained), jiko LA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana,nahitaji viwango vya madirisha vile vya size ndogo mfano kama sm 36 kwa sm 45 je nitavipata wapi kwa hapa Dar ama mwenye kuhusika na vioo ani pm tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
761 Views
kiwanja eneo la buyuni karibu kituo cha mafuta cha Sheratoni Ukubwa wa sqm 1,000 sawa na mita 20 upana na mita 50 urefu. Eneo bado halijapimwa unaweza kuligawa likatoa viwanja viwili vikubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Njoo sasa tukuagizie simu uipendayo kati ya Iphone, Huawei, Samsung, GooglePixel, Xiaomi na OnePlus kwabei nafuu kabisa pia utajipatia na ofa moja wapo utakayo itaji mteja kati ya wireless...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Wadau, natafta wanunuzi wa maharage ya soya, kilo sh.1800,serious buyer antafte kwa no 0710925731.
0 Reactions
3 Replies
910 Views
Back
Top Bottom