Habari za j2 wanajf
Mimi ni mkulima wa maharage machanga/maharage ya kijani almaarufu kama GREEN BEANS na pia nauza kwa anayehitaji karibu nikuhudumie. Kg 1 ni tsh 2000 bei inapungua kulingana na...
BEI ZINAZOENEKANA SIO ZA KUUZIA, ULIZA BEI.
BEI ZETU HAIZIDI ELFU THELATHINI.
SALAAM WANA JAMVI, VITU VYOTE NI VIPYA, KWA WALIOKUWEPO ZANZIBAR ITAKUWA RAHISI KUVIPATA.NA KAMA UPO NJE YA ZANZIBAR...
Wadau habar,natafta soko la asali, nnazo lita 1000,kwa yeyote mwenye kujua anaenunua asal kwa bei za jumla nnaomba kuunganishwa nae mawasiliano 0710925731/0766089646
Shamba lenye ukubwa wa ekari mbili linauzwa maeneo ya misungwi shamba linafaa kwa kilimo au kwa wale wa kukata viwanja wanakariishwa kununua na kudevelop kuwa viwanja bei ya eneo lote ni milion...
Habari ndugu!!!
Mm ni kijana nilieamua kuingia katika ujasiriamali na kwasasa natafuta sehemu ambapo nitaweza kufungua car wash yangu au open space nzur tu kwa ajili ya kujenga biashara hio...
habari,
jipatie sabuni original za shaza kutoka burundi sabuni ambazo hutumiwa na jinsia zote kwa wanawake na wanaume mpaka watoto,pia ni sabuni pekee zitazoweza kukusaidia kuondokana na matatizo...
Kiwanja kipo mwasonga madege km22,kutokea kibada.. its ugentry maji ya kisima baridi eneo linafaa kwa. Makazi,ufungaji wa kuku, mbuzi au kilimo cha mboga cha umwagiliaji kiasi ni upana 50 na...
Habari bandugu...Wapi nawezapata Trey za bei nafuu....lakini pia wenye uzoefu wa kusafirisha mayai..Mnafungaje mzigo kwa kuanzia Trey Mia za mayai...?.
Card hizi zinauzwa kwa bei ya kiasi cha shilingi laki nne kwa RADEON HD 7970 na GTX 770 (connector ya hdmi mbovu) kwa laki tatu za kitanzania. Location ni TABATA DSM. Ukihitaji nicheck 0763976109...
Xiaomi redmi 6 with ram 3gb rom 64gb used abroad still in a good condition utapata chaji na earphones bure delivery arusha moshi dar es Salam na shinyanga kwa mawasiliano piga 0787323047,0716338766
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.