Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wakuu, Naamini humu kila jambo linawezakana, Nahitaji gari aina ya Land cruiser Prado new model, au gari yoyote iliyonyanyuka ambayo waweza itumia kwa safari za pori ukilinganisha na...
2 Reactions
14 Replies
6K Views
Pole kwa majukumu ndugu zangu . Ninauza Shamba langu lenye ukubwa wa heka 4 . Shamba Lina rutuba ya kutosha na linafaa kwa kilimo cha mazao aina nyingi, ni flat area. -Shamba lipo KIA ni...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari ndugu zangu wote! Tunakodisha vifaa kwa ajili ya live bend na live music ya aina zote, pia tuna bend kwa ajili ya burudani mbali mbali sehemu tofauti, Tunapatikana majumba sita Dar es...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari! Friji ndogo aina ya Hisense inauzwa, haina tatizo lolote, wala haijawahi kusumbua nipata dharula ndio maana naiuza. Ni ya mlango mmoja, ina sehemu ya kugandishia (freezer). Mpya dukani ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habari wakuuu kiwanja chenye ukubwa wa square 1200 kipo eneo zuri sana kipo barabara kuu ya kuelekea ziwani huduma za kijamii zote zipo maji umeme hosp schoos kiko barabaran kinafaa kwa makazi na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
watu wengi wana mitaji ya kufanya biashara au kufanya fursa ya kilimo, ambayo fursa hiyo inafaida kwenye soko. Lakini changamoto inakuja wengi huwa wanaanzisha nakuishia kwenye hasara badala ya...
1 Reactions
4 Replies
901 Views
Nafanya wiring ya umeme katika majumba. jamani nipeni dili hizo 0621058954
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Simu aina ya infinix smart 3 plus Mpya kitu na Box lake kabisa Ina week moja mtaani Ram 2Gb Rom 32Gb Android version 9 Model infinix X627 Location: Pugu ,Daresalaam Bei ni sawa na bure wahi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Make : TOYOTA Model : Toyoace truck (RZY-220) Mileage : 168,200km Engine size: 1,990cc (1RZ) Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Manual Drive : -...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari mkuu, naamini una aina ya gari tajwa hapo juu, sasa mimi nalihitaji ifikapo tarehe 23 Mwezi wa 9 mwaka huu kwa bei hiyo hapo juu bila senti. Nataka liwe na usajili wa C kuja juu. Liweze...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Samahani wakuu. Nauliza Kama kunamtu anafahamu maduka wanayouza drone hapa dar. Natanguliza shukrani
0 Reactions
8 Replies
766 Views
Kama kuchwa cha habari kinavyojieleza natafuta Kama kuna mtu amewahi kuregister na kupata Leseni ya biashara ya kukupesha hela Ila haitumii nahitaji aniuzie. Au Kama mtu anaweza kunisaidia kupata...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
PATA KILA KITABU KWA Tshs1000/= au vyote kwa pamoja kwa 10,000/=Tu na vingine vingi ikiwamo:- -mapenzi -ndoa -urembo -mapishi -dini nk. Kwa lugha ya kiingereza vitabu hivi viko katika mfumo wa...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Kama kichwa inanavyojieleza...naomba kufahamu bei ya majiko ya kukaanga Bisi,hususani yanayotumia Gesi!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ALcobond (alluminium panel)ni aina ya board zinazotumika kwenye urembo wa majengo,kutengeneza mabango ya biashara, na matangazo tofauti.zenye upana wa mita 4 na urefu mita 8.Bei ni Tsh...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Greetings from Abby’s Legendary Caterers We craft delicious gourmet dishes for catered events of 5 to 1,000 people or more. Whether you are having meetings, seminars, workshops, construction camp...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eneo lenye ukubwa wa square meter 10,000 lipo karibu na ziwa yaani ukisimama kiwanjan una view eneo la ziwa kwa uzuri zaidi lina nyumba ndani yake kama tatu mawe ya kutosha kwa ujenzi na kwa kuuza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunauza mifuko ya sembe kwa gharama nafuu sana na ikiwa katika ubora wa hali ya juu. Lengo letu ni kufanya kazi na wazalishaji wa sembe wa chini na wa kati ili kuongeza thamani za bidhaa yao...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
kiwanja eneo la buyuni karibu kituo cha mafuta cha Sheratoni Ukubwa wa sqm 1,000 sawa na mita 20 upana na mita 50 urefu. Eneo bado halijapimwa unaweza kuligawa likatoa viwanja viwili vikubwa Bei...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Back
Top Bottom