Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza iphone 7 plus Colour: black Condition: used lakini haina scratch hata kidogo. Storage: 128 gb Ram: 3 gb Ina 9D screen protector na cover mbili Bei 800000/= Tzs Location Mwanza Kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza decorder za TNG ,Star times na Gtv zote zimetumika TNG. Hi decorder in nzima lakini smart card haina. Star times . in nzima na INA smart card take GTV. Nzima sema hii kampuni haipo hapa...
0 Reactions
9 Replies
775 Views
Wakuu kwema? Ni kiwanja chenye ukubwa wa 962 square meter kilichopo mtaa wa michese jijini Dodoma Kiwanja kimepimwa na tiari ramani ya mtaa ipo kamili,kipo jirani na shule ya msingi michese na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu na poleni na mihangaiko ya maisha. Tusikate tamaa tuzidi kumwomba Mungu afungue milango ya baraka. Kwanza nashauri kwa watu wenye watoto wadogo kwamba sio vema sana kuanza...
1 Reactions
9 Replies
11K Views
Habari nko mkoani nmejikusanya nataka kufungua duka la computer sasa nataka nije dar next week wap ntapata mzigo wa jumla kwa bei rahisi na kwa usalama
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji laptop used anae uza awe anaiuza kwa lengo la kutaka pesa atatulie shida inayo mkabili
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Mwenye picha design ya fremu ya 100000 nisaidie kapicha
0 Reactions
0 Replies
454 Views
Waitaji nyumba yako iwe na mwonekano mzuri kwa kuchora maumbo mbali mbali yaonekanayo kama wallpaper tucheki gharama ni nafuu zaid na inadumu kwa muda mrefu Tunafanua kuta mbili kwa 170,000...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nawasalimia wote, Kwa mara nyingine tena napost kuwasogezea fursa. Kwa wale wanaopenda kuwekeza kwenye fursa za biashara ya kutengeneza vigae vya kupaua nyumba. Niko na vifaa ambayo utaweza...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hii ni habari nzuri kwa wasimamizi wa miradi, maafisa miradi na wadau wote wa mambo ya miradi. Furia Consulting Ltd tunachukua fursa hii kuwataarifu wadau wote wa sekta ya usimamizi wa miradi...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
ASANTENI. SIMU IMESHAUZWA! MODERATORS: NAOMBA MFUTE TANGAZO HILI Simu ina muda wa miezi miwili tu toka inunuliwe. Ina hali nzuri sana MashaAllah 1. Ram 3GB 2. Internal Memory 32GB 3. Battery...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu! Nilikua nahitaji pump ya maji ila iwe used kwenye condition nzuri. Bei iwe at around 70,000. Alieynayo na anauza tuwasiliane kwenye 0712220207 au 0767173885. Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Wakuu pole na majukumu. Naomba kwa anayejua bei ya vitu ya SCOUT/SKAUTI mashuleni. Mfano. Zile hankerchief(vitambaa) zao ni Tsh ngapi? Kofia Tisheti n.k, Na nkivitaka naweza vinunua kwenye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
MBINU 10 ZA UHAKIKA ZA KUFAHAMU KIINGEREZA/ENGLISH KWA MUDA MFUPI Kujifunza lugha mpya kunaweza kuwa ni kugumu, lakini inawezekana. Je unatamani kufahamu na kumudu lugha ya Kiingereza kwa muda...
2 Reactions
15 Replies
16K Views
Kama kuna mwenye huu utaalamu wa kutoa malkia wa mchwa ningependa ni pm napatikana Kibaha. Ahsante
2 Reactions
46 Replies
8K Views
*NAOSHA MASINKI* naitwa Lisa ni mwanafunzi wa mwaka wa pili. Nasafisha masink na tiles zenye uchafu sugu na zilizofubaa Yaani kushindikana kabisa. [emoji818]Sinki la choo cha kuchuchumaa Sh...
5 Reactions
6 Replies
7K Views
Imetembea kilometre 84,900, piston 4 imemilikiwa na mtu mmoja, ni full ac, gari ipo katika hali nzuri sana. Bei 5.9 m Karibu. 0754 889 999
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Kiwanja kiwanja kinauzwa nusu heka, ukita hatua unakatiwa kiasi kulingana na bajet yako tunakata kuanzia milion 5 kwendelea, nusu heka bei ni 18 kuna nyumba ndani haijaisha,Maeno ya Kigambo...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom