Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau, Ninauza Mhogo uko Shambani, Kibaha-Soga. Nililima Hekari 10(10Acres). Una uchungu,hivyo unafaa kwa matumizi ya Unga,na kwa mahitaji ya viwandani. Naulizia Wa-china wanaonunua Mhogo...
1 Reactions
2 Replies
783 Views
Nauza mifuko ya kuwekea vitu kwa bei rahisi Nauza size zote kwa bei moja ya jumla na rejareja Nicheki kupitia 0654403540
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Hello! Wanajamvi, kwenye pita pita zangu mitandaoni, nimekutana na Mafuta ya kupaka sehemu za uumeni yanaitwa Man 1. Naomba kujua anaye fahamu yanapo pataikana. Asanteni.
0 Reactions
12 Replies
7K Views
wajuvi, naomba msaa wa kupata mbegu bora za nguruwe musoma.Nataka kuanzisha mradi was ufugaji was kibiashara.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Vimepimwa, kuna umeme, maji na 4G zote, mita 450 toka lami. For developers, 17000 square metres suitable for shopping mall or company residences
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama unayo njoo PM tufanye biashara. Hakikisha iko vizuri.
0 Reactions
2 Replies
816 Views
PlayStation 2,inauzwa iko na pad moja be 70,000 Napatikana dar, mkoani natuma pia
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari, kwa wakazi wa Dodoma mjini tunatoa huduma ya kuchimba mashimo ya choo kwa ufanisi mkubwa. Bei zetu ni ndogo na pia tunachaji kutokana na mwamba uliopo. Karibu PM kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Members! Natafuta mtu mwenye ujuzi wa Kutengeneza Apps, anifundishe kwa malipo tutakayokubaliana. Nipo Temeke Dar es Salaam. Tuwasiliane kupitia WhatsApp 0672999266
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Nauza mchele safi kutoka mbeya. Napatikana Dar Es Salaam- Ilala Bungoni kwa wateja wa dar es salaam free delivery ukichukua kuanzia kilo 15, mikoani pia tunatuma. Grade 1 kilo 2,000/= Grade 2 kilo...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Wakuu kwema? Kaka yangu anauza kiwanja chenye ukubwa wa 962 square meter kilichopo mtaa wa michese jijini Dodoma. Kiwanja kimepimwa na tiari ramani ya mtaa ipo kamili,kipo jirani na shule ya...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
ELECTRIC FENCE Hii ni fence ya umeme yenye kupiga shoti, pindi mtu yeyote atakapojaribu kukatiza fence kuingia au kutoka nje ya kampound kupitia either juu ya ukuta au mahali ilipofungwa fence...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wana jamvi kama heading inavyojieleza. Natafuta printer hiyo hapo juu iwe used au mpya Au kama kuna mtu ana FILIM na catridge ya hiyo hiyo hap laser jet 5200 .catridge ni no 16A
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Wana JF Nina matatizo yamenikabili mpaka shingoni hivyo nahitaji pesa kuweza kuyatatua na kusimama upya hivyo basi nimeamua kuuza kiwanja changu ambacho kipo Dodoma mjini mailimbili, kina ukubwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ninahitaji kununua gari dogo LA kutembelea.Naishi Maeneo ya Bonyokwa Dar es salaam,ambapo kuna milima milima mingi.Binafsi nyumba yangu IPO kwenye milima ambapo nahofia gari isiyo na nguvu huenda...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Asali Mbichi nyuki wa wakubwa inapatikana, Nusupply kwa Jumla, kwenye Dumu la Ltr 20 bei ya kuanzia 125,000/- (including Transport) kwa Order kubwa bei inashuka... Napatikana Nzega,Tabora. Wahi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niko Mkoa Wa Kagera. Nahitaji Kuanzisha Biashara Ya Samaki wa Mapambo, Pia Utengenezaji wa Aquascape, Water Falls Pamoja Na Forest Ndani Ya Nyumba. Mwenye Ako Na Knowledge Anakaribishwa
1 Reactions
7 Replies
4K Views
We repair all kinds of electrically based Medical and Lab Dquipment
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Haina tatizo lolote ofa yangu 150K ipo Dsm 0764390594
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nahitaji ruby ya longido(high caboshon) Napia Nahitaji Mawe Aina iolite Kutoka babati(high caboshon)size kuanzia grm 10 kwenda juu Nna order nazo sana....kama kuna mtu Ana idea,anajishugulisha na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom