Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
wakuu kwa sasa nafanya biashara ya asali kanda ya ziwa na dar es salam, hakika inanifanya niishi vizuri sana ila natamani kufika mbali sana kibiashara, imefika nyakati nataka nianze kufanya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Naitaji machine ya kukuna nazi aina hii,
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wana jf. Je unahitaji kifungashio bora cha bidhaa za mteja wako? Usihofu kuhusu hilo Mimi nimuuzaji na msambazaji (home/site delivery) wa vifungashio bora kabisa vilivyotengenezwa kwa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama unatumia beer na unapenda kubadishana mawazo na wanaopenda beer karibu ujiunge kwny group whatsapp Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/Jwme5LhbWOoK28mpX7hopg
0 Reactions
2 Replies
553 Views
Sisi ni wajasiriamali wadogo tunaotengeneza na kuuza viatu vya ngozi ikiwa ni bidhaa kutoka ndani ya Nchi yetu. Viatu vyetu vina ubora usiotiwa mashaka lakini pia gharama zetu ni nafuu zaidi...
9 Reactions
647 Replies
85K Views
Natafuta godoro 5* 6 liwe kwenye hali nzuri nipo dodoma 0714676898 nicheki tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Habari Members Wiki mbili zilizopita niliweka tangazo la nia yangu ya kurudi Mkoani ili nikawekeze kwenye kilimo hivyo nilitangaza kuuza Nyumba yangu ambayo haijakamilika na kiwanja vilivyopo...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Mpendwa msomaji wetu, kama wewe binafsi au ndugu yako au rafiki yako anayehitaji kusoma Elimu ya sekondari au kusafisha cheti chake/chako cha kidato cha IV katika mwaka wa masomo 2019. Tafadhali...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
naomba kujuzwa bei ya alizeti mkoa wa manyara n singida na dodoma ni sh ngapi kwa gunia la debe saba
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Gari aina ya canter inauzwa Kwa bei rahisi sana ni baada ya mzee kuona dereva anamsumbua kaamua kuuza Anahitaji million kumi na tatu tu kama una mteja uza Kwa bei yeyote yeye yake ni hiyo tu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
kiwanja eneo la buyuni karibu na kituo cha mafuta cha Sheratoni Ukubwa wa sqm 1,000 sawa na mita 20 upana na mita 50 urefu. Eneo bado halijapimwa Bei ni 12,800,000/= ikiwa utapenda...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana jamii forum,jamani mimi ni mjasiriamali naishi hapa dsm natafuta tenda ya kusambaza matunda,mbogamboga na kuku wa kisasa,kwa yoyote mwenye hotels,mashule,functions...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunauza vyombo used Chupa za kuhifadhia maji,juice,chai nk
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HUAWEI MATE 8 Double line storage 64gb Camera 16mp Camera 8mp 4G Ram 4gb Fingerprint Android Oreo Bei Tsh 250000
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nnaomba kwa mtu mwenye fremu ktk eneo likilochangamka kama Sinza au Makumbusho na kodi isizidi 150,000 anitafute tafadhal, dremu iwe kubwa na yenye viwango sio ile ya kutengeneza
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Habarini wadau wa jukwaa hili ? Nauza kiwanja changu chenye ukubwa wa robo heka(35*35) kwa bei ya Tsh Milioni 15. Kiwanja kinapatikana Toangoma njia ya kwenda kigamboni kutoka kongowe. Karibu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nyumba moja ya kwanza ipo eneo la Mjohoroni karibu na ilipokuwa Merinyo sekondari. Na nyingine ipo Meresini A jirani na Marangu sekondari. Kwa anaehitaji nicheki inbox.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujua ubora wa camera ya canon EOS T5/1400D ,lensi 18-55mm Megapix 24 Kwenye picha na video shooting
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Asalaam aleikum ndugu zangu wa jukwaa hili mahususi, bila shaka mtakuwa mnaendelea vizuri na mapumziko ya mwisho wa wiki. Basi ningependa ku-share nanyi biashara hii ambayo iko wazi na...
0 Reactions
1 Replies
673 Views
Habari za mchana Wakuu. Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu, nyumba nzuri inauzwa Sengerema - Mwanza na bei imeshuka mpaka 34mil. Eneo lina ukubwa 450sqm. Nyumba imezungushiwa fensi na kuna...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom