Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Tunaifanyia gari yako Engine Service ya kisasa na kwa gharama nafuu sana. Service hiyo ya engine inajumuisha mambo yafuatayo. 1. Tunakuwekea Oils na filters ambazo ni Genuine. Tunatambua Oil...
5 Reactions
3 Replies
970 Views
Nina uzoefu wa miaka minne na nusu ambapo nilifanya katika moja ya depot ya kampuni ya Cocacola, hizi ambazo zinaitwa SSD. Nilikuwa chini ya kampuni Fulani ambayo mshahara wangu ulikuwa ukipitia...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Pata Vodacom sme Bure kabisa, uwe na nida, Tin number, picha yako, utapata ndani ya dakika chache nicheki kupitia +255753207909 NB: Maelezo yote nimeweka apa wakuu ukiwa na ivyo vielelezo ndo...
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Yoyote wadau ambae ana karafuu nataka kununua kilo za kutosha
1 Reactions
17 Replies
366 Views
Jipatie huduma ya bando nafuu airtel kwa wewe mfanyabiashara
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Kuchagua eneo zuri kwa ajili ya uwekezaji wa majengo ya kupangisha ni moja ya mambo muhimu sana kwa mafanikio ya muda mrefu ya uwekezaji huo. Eneo linaathiri moja kwa moja uwezo wa kupata...
1 Reactions
0 Replies
310 Views
Dell Xps 13 9365 Convertible laptop Super Slim x360 13'3 inches sceeen Touch screen 7th generation Intel i7processor Ram 8 gb Ssd 256 gb Backlight keyboard Fully hd screen FHS, IPS Fingerprint...
0 Reactions
4 Replies
314 Views
Habarini kinandugu,Mimi ni mwanamama aged 33 Niko dar,Niko na dip ya procurement& supply.Natafuta tender ya kusupply beef fillet,steak,Nundu na Samaki sato,sangara local vegetables na fruits...
10 Reactions
27 Replies
3K Views
Wadau mimi nina supply fresh meet(beef) kutoka kampuni ya ranchi za taifa (NARCO) nyama yenye ubora na usalama kwa walaji kwani inaandaliwa katika mazingira mazuri kuanzia ufugaji hadi uchinjwaji...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam wana body Kupitia Uzi huu nitaleta gari za bei zifuatazo √bei ya chini (5m below) √ bei ya kipato cha kati (5m above) √ bei ya kipato cha juu (10m+) Ukipendezwa na aina ya gari uliyoina...
19 Reactions
741 Replies
115K Views
Habari Nahitaji wafanyakazi wa bakery Eneo: Kibaha Kwa maelezo zaidi piga : +255 762 866 652
2 Reactions
0 Replies
263 Views
KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA MBEZI MWISHO MAKUTI BEI NI MILION 13 TU ■■UKUBWA WA KIWANJA MITA 20 KWA 20 ■■UMEME NA MAJI YAPO SITE ■■VIMEPIMWA NA KURASIMISHWA KWA MAKAZI BORA 0675 065906
1 Reactions
0 Replies
270 Views
Land Rover Discovery 3 Inauzwa.., Gari haina tatizo lolote, Ipo katika hali nzuri sana. Model ya 2005, Automatic transmission, Milleage ni 100,000 kms. Kwa maelezo zaidi +255(0)694-206924 or...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Wewe ni mpenzi kufuatilia series/movie usiogope idadi nicheki whatsapp nitajie series unazohitaji usiogope idadi ziwe series 20 na zaidi ntakuletea kwa gharama ya 5000 tu ( Dar es salaam )...
0 Reactions
6 Replies
251 Views
Nakodisha Frame 3 za biashara Katoro-Geita.Zipo Barabara ya CCM (Mkabala na Kituo Cha Afya Katoro),zinatazamq Rami.Ukubwa:Mbili zina Ujazo wa Meta za Mraba 26.5 na Moja ina Ujazo wa meta za Mraba...
0 Reactions
1 Replies
281 Views
KARIBUNI KWA NGUO NA VIATU VIZURI KUTOKA INDIA,UTURUKI,HONG KONG NA VIETNAM NAPATIKANA UPANGA DAR ES SALAAM 0678096545 Delivery ya viatu kwa Dar es salaam ni bure
6 Reactions
73 Replies
3K Views
Tunazalisha na kuuza mbegu Bora za samaki aina ya Sato na Kambale. Vifaranga vinazalishwa kitaalamu na vina sifa zifuatazo; ✓ Wanazoea mazingira utakayo wafugia kwa haraka ✓ Wanakua haraka na...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Samaki aina ya sato ni moja kati ya kitoeo kinachopenda wa na idadi kubwa ya watu Zaidi ya aina nyingine zote za samaki wa maji chumvi na maji baridi kutokana na ladha yake ya kipekee na pia ni...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Bila kupoteza muda nyakati ndizo hzi kuingia kwenye kilimo tena, karbuni sana kwa mahitaji ya sprayer pump 16L na ndgo 2L, spare complete (chuma, bati na plastic), nozzle na rubber za ina...
0 Reactions
4 Replies
209 Views
Habari, Nauza gari aina ya Rav4 ipo katika hali nzuri kwa bei ya Tsh. 7m na maongezi yapo. Mawasiliano ya simu ni 0713 227 823 na 0756 844 197 Karibuni.
1 Reactions
8 Replies
958 Views
Back
Top Bottom