Hadi huu mwezi uishe lazima nije nitafute mchepuko humu niupeleke hata zenji
Tunauza mifuko jamani
Leo tu mifuko 20,000
Asante magufuli.
Matajiri wa mabucha Leo wametupa raha
Inauzwa Iphone 6 plain, mpya kabisa, memory ya 16 gb, full boxed, na kila kitu chake, plus free "screen protector na cover ya nje"
New Iphone 6 plain for sale, Space gray in color/colour with 16...
Habari zenu wadau....
Simu used samsung galaxy s3 inauzwa Bei Tsh 120,000 (inaweza kupungua).
Simu bado iko fresh haina tatzo lolote..na teyari nimeweka custom ROM ya (Lineage) na Android...
Habarini wapendwa wangu,samahanini mimi ni mgeni hapa lakini nilikua na uhitaji kama kichwa cha habari kilivyoelezea mwenye navyo naomba tuwasiliane,asanteni ndugu zangu.
Sio Nyumba mpya mwenyewe nahamia mkoa kuna mpangaji 1 ENEO SIO KUBWA 200 SQM LIMEJENGWA LOTE NDIO MAANA BEI IKO CHINI
Hapo mbele mvua imeharibu ngazi na tofali za pembeni. Tabata Kimanga...
Fanya laini yako iwe ya chuo Kwa bei cheeee kabisa . Ni tigo pekee tu
Call me 07142....... HUDUMA KWA SASA IMEFUNGWA .......XXXXXXX au nitumie sms
Malipo ni bahada ya laini yako kuwezeshwa...
Habari wadau..
Nauza friji kama mnavyoliona kwenye picha hapo chini..
Halina ubovu wowote, ninalitumia mimi mwenyewe..
Kwa juu ni sehemu ya kugandishia vitu (freezer)..
Bei 180,000...
Habari za Kazi wakuu. Kwa wale wenye uhitaji Mkubwa wa mifuko wa karatasi ambayo unaweza wekea chipsi, samaki kavu au kaange, vitu vya dukani, Nguo kwa wenye maduka ya nguo, viatu, nk na wanaweza...
Habari wadau.
Nauza mashine yangu ya kuprint tshirt mpya kabisa kwenye box lake..
Nilinunua mwanzoni mwa mwaka huu kwa ajili ya biashara ya kuprint tshirt...
Sababu ya kuuza nimeshindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.