Habarin wanajukwaa, Nahitaji laptop aina ya Hp au Dell kwa matumizi ya ofic, sifa betri iwe inakaa na chaj, hdd haimati kabsa..!
Bajeti yangu ni sh laki 3.5 - 4 kamil
Napatikana Dar es salaam
Kwa kampuni au mtu binafsi mwenye mahitaji ya kuunda mfumo wa automation (electronics automation), kwa ajili ya mashine au mitambo tuwasiliane.
Tunaunda mifumo ya kidigitali kwa mashine zote mf...
Hello wapendwa mnaopenda kwenda na fashion.Ninatoa darasa online Kuhusu kutengeneza Kofia hizi zinazowapendeza Watoto na Akina mama.
Hauhitaji cherehani, kinachohitajika ni Uzi, sindano, Mkasi...
habarini wana jamvi...
kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, mimi nilikua nasumbuliwa na sukari kwa muda kidogo (sukari ya kupanda). kuna tiba ya asili nilipewa imenisaidia sana sasa hivi najiona...
Ninauza mashine ya tofali za block, inatoa tofali mbili za inch tano, inatumia umeme na nitakupa na mota yake, bei 2.2m majadiliano yapo pia kwa mteja wa uhakika.
Jipatie viwanja vilivyopimwa kwa matumizi mbalimbali na kwa bei nafuu sana:-
Viwanja vya makazi - Tshs. 6,500/= kwa sqm
Viwanja vya biashara - Tshs. 12,000/= kwa sqm
Viwanja vya...
Simu ni used yes it is and Since I have gotten brand new one naitoa hii sio kwa kugawa freely ama kuitupa bali kuiuza kwa bei ya Wana.
Simu ni 32ROM, 4ROM,betri imesimama chaji ni 12hrs (ajabu...
-Raum old model
-Cc 1490
-Low in mileage
Fuel use-petrol
Mode of transmission-Automatic
-gari ni nzima na inatembea
-iko nkuhungu dodoma
BEI-4,500,000/=
MAWASILIANO
0767833496
0622111186...
Habari wana JF natumai nyote mko poa na mambo yanaendelea kama kawaida...
Naitaji kuku wa 500 wa mayai walio maliza kutaga ambao wanauzwa kwa ajili ya kitoweo, kama kuna mfugaji alieko ndani ya...
Ndugu wana jamvi,
Natafuta English grammar ambayo ni sahihi kama kuna mtu ana-cover au picha ya kitabu anitumie nikatafute book shop au anielekeze chanzo kingine kama vile PDF. Naheshimu sana...
Habari Wana jf ,kama kichwa Cha habari kinavyojieleza na chumba kipo maeneo ya mabibo jirani na chuo Cha NIT chumba ni kizuri mazingira ni mazuri na usalama wa kutosha hakuna mwenye nyumba wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.